YO YO,
Hii avatar yako imenisumbua sana nimefuta screen ya lap. yangu kwa vidole na kitambaa lakini yule mdudu hatoki, nikasema ama kweli VIRUS wame spoil comp. yangu ile mbaya!
Kivipi kamanda? kama kufungiwa ingeshafungiwa long time......mimi nime quote tu from jf
ukiangalia kweli a.karume anafanana na Babu sana...na wote wanapiga fegi ile mbaya...
Babu
karume
Jamani it happens, we do not need any jugment about this.
Asiye na hatia basi na awe wa kwanza kumtupia Jiwe huyo mzaa chema- rais mstaafu wa Zenj.
Nasema ikiwa wewe uko mwaminifu kwa mke/mume wako kwa 100%, mhukumu huyo asiye kuwa mwaminifu.
Sina nia ya kuendekeza ukosefu wa uaminifu, lakini ni hali halisi. Ikiwa umeshinda ugonjwa huu, tuombee kwa mola. Aaaaamen.
Kwa nini unawajenga watu na nidhamu ya woga? kitu unachopaswa kujuwa ni kwamba hakuna mtu mwenye uwezo wa kufungia mawazo ya watu wenye fikra huru, na isitoshe sasa hivi kila mtu ni bloger.Yoyo!, angalia usiiponze jf yetu ikafungwa!.
Nusu ya wanaume hapa Tanzania ni WAGUMBA!!!
Source; UTAFITI
"hili la yoyo kuwa shoga hata mimi nimelisikia ila heb ngoja mwenyewe aje kudhibitisha" end of quote alisema mchangiaji mmoja kutoka JFYo Yo ni shoga!hii imethibitika baada ya rafiki yake wa karibu aitwaye MGUU WA MTOTO kuonyesha picha akimlawiti YO YO ghetto kwake........................................................................mtu akiquote maneno haya toka hapa JF ni uthibitisho kama wewe YO YO ni BWABWA?just asking..