Macbook pro
JF-Expert Member
- Jul 15, 2020
- 722
- 1,030
Umeambiwa hivi ili binadamu afe nilazima pawepo na shambulio la moyo, watu wanachotafta ni hilo shambulio la moyo limesababishwa na nini?
Acha uzwazwa unajua incidence ya kutokea cardiac arrest. Ficha upumbavu wako?
Basi mtakuwa mnachanganya heart failure na cardiac arrest, heart failure inaweza kuwa chronic ndo unakuta mtu ana tatizo la moyo la muda mrefu. Sasa unaweza kupata acute/peracute heart failure ambayo mtu anafariki ghafla, mfano akiwa usingizini, nafikiri hii ndo nyie mnaita cardiac arrest. Nafikiri Nguruvi3 yupo well infomed kwenye hilo eneo ni kuwa mpole tu uweze kuelimishwa, hakuna haja ya kubishana..Basi hujui maana ya cardiac arrest; na usiombe ikukute, kwa sababu ndiyo chanzo kikuu cha vifo tunavyoita vya ghafla.
Kwako wanene hawana ukimwi! Utakufa, chukua tahadhari.Yaani kuna watu wanalazamisha vitu mpaka unashangaa wekwisha kuambiwa mtu kafa na maradhi ya moyo kwanza mwili wale tu unaweza kukubali watz hapana
Yap upo sawa kunakuwa na - entry trigger deseaseMkuu, mimi nina uelewa kiasi kidogo wa haya mambo. Ukiangalia vyeti vyote vya kifo, kuna kitu kinaitwa "immediate cause of death". Immediate cause ya vifo vyote duniani ni cardio-pulmonary arrest. Ufe kwa cancer, COVID-19, HIV/AIDS, kuishiwa damu wakati wa kujifungua nk, ili ufe ni lazima hivi visababishi visabibishe "cardio-pulmonary arrest" (moyo na mapafu kutokufanya kazi ama moyo kufa). Alichotakiwa kusema Erio ni nini kimesababisha cardiac arrest kwa mzee wetu. Hicho pengine hatokisema.
Nikupe mfano. Ni kama mtu kasema nyumba imebomoka bila kutoa chanzo chake. Inaweza kubomoka kwa maporomoko, kubomolewa na grader kwa vile umejenga barabarani nk. Nadhani umeelewa.
Update: Kwa mujibu wa wachangiaji wengi humu wanasema ni malaria. Kwa hiyo malaria ndio pengine imesababisha "cardic arrest" kwa mzee. Lakini kusema tu "cardiac arrest" ni sawa na kusema kifo chake kimesababishwa na kifo.
Kama ww ni Dr big up sana kwa ufafanuzi,Basi mtakuwa mnachanganya heart failure na cardiac arrest, heart failure inaweza kuwa chronic ndo unakuta mtu ana tatizo la moyo la muda mrefu. Sasa unaweza kupata acute/peracute heart failure ambayo mtu anafariki ghafla, mfano akiwa usingizini, nafikiri hii ndo nyie mnaita cardiac arrest. Nafikiri Nguruvi3 yupo well infomed kwenye hilo eneo ni kuwa mpole tu uweze kuelimishwa, hakuna haja ya kubishana..
Kifo ni Kifo muwe na adabuHivi mnategemea kama chanzo cha kifo ni ukimwi au corona wangesema.
Yupo wapi maana yawezekana nimechanganya
HOSPITALI HAINA JINA?Kafia hospitali ya hapo Makumbusho yani simple kabisa. Hii tabia ya watanzania kufuata mawazo ya mfalme na kumnyenyekea kwa kumuogopa yatatumaliza. How come unaambiwa Tanzania Corona imepotea na wewe kwa uzuzu huku ukiwa na elimu kichwani unaamini? Huo ni ulemavu wa aina yake!
ITANISAIDIA KUCHUKUA HATUA KUJIKINGA NA UGONJWA HUO ILI NISIONGEZE SHIDA JUU SHIDA NILIZONAZO. KWANI TULIVYOJUA UGONJWA WA MAREHEMU WA CHINA KUWA NI CORONA HUONI ILIVYOTUSAIDIA KUCHUKUA HATUA HADI KUPIGA NYUNGU?Ukishajua ugonjwa wa marehemu itakusaidia nini kwenye SHIDA ZAKO?.
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Yawezekana hakufia Hospital ya serkali.Mkuu hili tukio zima lina utata sana. Na kwa kweli utata huu mimi nauona kama unaletwa kwa "makusudi" kabisa, sio kwamba watu hawajui kinachotakiwa kufanyika (tena mengine sheria imeshurutisha yafanyike....lakini bado unaona gaps). Nasita kuamini kuwa ni communication failure ya kawaida tu. Kwa mfano tu, kulikuwa na haja ya "kuficha" jina la mahali alipofia? Hasa kama sababu ni tatizo la moyo?
Hata sababu hasa ya kifo, tusingepaswa kuambiwa na Erio. Sheria inataka serikali iseme sababu ya kifo, pamoja na mambo mengine.
Nikivyosikiliza maelezo ya JK, nilihisi pengine BWM alikuwa pengine anasumbuliwa na "tumbo" (JK aligusia Mkapa kujisikia maumivu). Maelezo ya JK hayakuashiria "severe malaria" kabisa. Well, najua unaweza kuwa na malaria na tumbo likasumbua. Kuna kitu nafikiri hakijakaa sawa sawa bado.
Muda utasema.
RIP Mzee Mkapa.
KWANI WATU WOTE WANAOKUFA KWA AJALI WEWE HUWA UNAIONA HIYO AJALI? KUJUA KWAMBA MAREHEMU KAFA KWA UKIMWI ITANISAIDIA KUCHUKUA TAHADHARI NA KUWAELIMISHA WENGINE JUU YA HATARI YA UGONJWA HUSIKA. KWANI WEWE ULIPOJUA KWAMBA WACHINA WANAKUFA KWA WINGI KWA SABABU YA CORONA WEWE HAIKUKUSAIDIA KITU? UJINGA MWINGINE NI MZIGO MKUBWA.Kama ni ajali si kila mtu atakuwa ameona?..
Unaona sasa upumbavu wa watanzania wanakwambia sio shambulio la moyo.
Ni ugonjwa mwingine. Sasa utajiuliza hata kama marehemu kafa kwa ukimwi wewe ukijua itakusaidia nini?
Ndo maana nasema ni upuuzi kutangaza mgonjwa kafa na ugonjwa gani?
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Still connecting the relation of Malaria with Cardiac arrest sipati jibu? but kuna uhusiano mkubwa kati ya upumuaji na shambulio la moyo.
Jiongezeni wakubwa, Israel mtoa roho bado anawinda roho za watu wenye shingo ngumu.
Msemaji anasema Rais Mkapa kafia kwenye Kiti ghafla. JK anasema aliugua na alipata lisaa lizima kuongea nae kabla ya umauti. UTATA!
HOSPITALI HAINA JINA?