Kazi ipo huyu si alianguka na ndege sasa sumu inakujaje hapa
Nchi ya Kenya kwa vifo vyenye utata ndio nyumbani kwake,na sasa tunaomboleza kifo kingine chenye utata cha Mutula,kabla hajafa Mutula alijinasibu kwa mengi,alisema kwanza hata CORD isiposhika madaraka yeye atawa-impeach akina nonino,pia akamwambia mwandishi wa The Standard kuwa muda si mlefu ataleta Tsunami,na kabla ya yote keshatangulizwa mbele ya haki,ni vivo hivyo kwa Saitoti akina nonino waliona ni hatari kwao,nae akatangulizwa mbele ya haki,nafikiri kwa sasa waliomshindwa ni RAO tu.
Niliisikia siku nyingi, afu huyu mwandishi amekuwa akitishiwa sana maisha yake.
iliwekwa kwenye ndege mkuu..cynide ni sumu mbaya sana.
Ukiisikiliza vizuri hiyo video, ni dhahiri kwamba jamaa waliwekewa cyanide halafu wakafa kabla hata ya ndege kuanguka. So kuanguka kwa ndege ilikuwa ni kutekeleza hatua mhimu tu ya kile ambacho walishakifanya. Inasemekana kuna rubani aliyekuwa aende na saitoti lakini alijitoa dk za mwisho kwa kusingizia ugonjwa. Hii kwa kweli ni hatari sana. Naona ni style kama zilizotaka kuwaondoa akina Mwakyembe. Inaonekana mpanga mipango wa Tanzania alichemka somewhere. Kuwa mwanasiasa sometimes ni changamoto.kale ka kijana kasomali kana roho ngumu sana..ila watakuja wamuondoe.,unakumbuka ya jerry muro?
Waliwekewa Cyanide ikaanza kuwaua taratibu kwa hiyo waliporuka na ile ndege, dk chache tu wakiwa hewani, wakawa tayari wameshaanza kufa. Kwahiyo marubani wakapoteza uwezo wa kuongoza herikopta na matokeo yake ikaanguka. Lakini walikuwa wameshakufa tangu wakiwa huko angani, pale chini walikuwa wanaanguka kama sehemu ya kutekeleza wajibu tu, ili wapate kisingizio cha ajari. Lakini kama ingekuwa ni ajari ya kawaida, wangeweza kuanguka na bado wakapata majeraha na kupona. Lakini ukweli ni kwamba walishakufa tangu wakiwa hewani.Sasa ile ajali ya ndege ilikuwaje?
waliwekewa cyanide ikaanza kuwaua taratibu kwa hiyo waliporuka na ile ndege, dk chache tu wakiwa hewani, wakawa tayari wameshaanza kufa. Kwahiyo marubani wakapoteza uwezo wa kuongoza herikopta na matokeo yake ikaanguka. Lakini walikuwa wameshakufa tangu wakiwa huko angani, pale chini walikuwa wanaanguka kama sehemu ya kutekeleza wajibu tu, ili wapate kisingizio cha ajari. Lakini kama ingekuwa ni ajari ya kawaida, wangeweza kuanguka na bado wakapata majeraha na kupona. Lakini ukweli ni kwamba walishakufa tangu wakiwa hewani.
This is the most stupid theory I have ever heard. Please note you are not coerced to write something on this blog in case you have none. Stop your idiotic imagination.
This is the most stupid theory I have ever heard. Please note you are not coerced to write something on this blog in case you have none. Stop your idiotic imagination.
Sisi hapa tunapewa uhondo na wewe unasema idiot imagination na stupid theory. Hii inaharibu sana ladha ya story. Kwani wewe ni cyanide expert au ndio pilot aliye conveniently fall sick na akafeli kusafiri? Jieleze mkuu?