Ndugu wanajanvi, tangu matokeo ya darasa la saba yatangazwe, nimekuwa nikiwasaidia watu mbalimbali kupata matokeo yao kupitia cm yangu ya mkononi. lkn nimekutana na maajabu. Yaani mwanafunzi aliyepata Kisw D na mengine yote E, amepass kwa grade D. lkn aliyepata Science D na mengine E, ana Grade E. Shule ni Omundongo ipo mkoa Kagera wilaya Misenyi. Wanafunzi hao ni P.....-046 na P...- 38. Maanake mwenye possibility ya kuwenda O-level ni wa Kiswahili....!!!