Kumbe science si kitu kwa Tz

Kwanza pole sana
Pili napataa shida kujua A inaanzia ngapi na B na C na mpaka F.
Hata mimi nina mwanangu amepata kiswahili B na mengine yote C na anawastani wa C. Sijui kwa kweli wastani wanacalculate vp.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…