Kumbe sheria inaweza ikafanya kazi endapo katiba inaheshimika na watu wanapewa haki sawasawa

Kumbe sheria inaweza ikafanya kazi endapo katiba inaheshimika na watu wanapewa haki sawasawa

Mung Chris

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2017
Posts
3,391
Reaction score
3,849
Mahakama jijini Abuja, Nigeria, imeliamuru Jeshi la Polisi kulipa faini kwa kupuuza maagizo baada ya kukataa kumpa dhamana mwandishi wa habari na mwanaharakati Omoyele Sowore.

Omoyele ameachiliwa baada ya mahakama kutoa saa 24 aachiliwe, baada ya kushikiliwa kwa miezi minne. Mwandishi huyo anatuhumiwa kwa uhaini, utakatishaji fedha, na uchochezi wa kimitandao.
source: Swahili Times


Kjh.jpg
 
Ndio maana Rasimu ya Warioba imefungiwa kabatini na CCM ili kuepuka kuwajibishwa namna hii
 
Back
Top Bottom