Kumbe si Ziwa Nyasa tu, Rais wa Mexico ailalamikia Google kwa kubadili ramani, ghuba ya Mexico waiita ghuba ya America, huu ni ubeberu wa kimtandao

Kumbe si Ziwa Nyasa tu, Rais wa Mexico ailalamikia Google kwa kubadili ramani, ghuba ya Mexico waiita ghuba ya America, huu ni ubeberu wa kimtandao

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Rais wa Mexico ameilalamikia kampuni ya Google kwa kuibadili jina ghuba ya Mexico na kuiita Ghuba ya America. Huu ni mwendelezo wa makampuni ya kibeberu kujaribu kubadili ramani ya dunia bila kushirikisha wadau.

Hivi karibuni, kampuni hiyo ya kibeberu ilibeba mzega mzega ziwa lote la Nyasa na kulihamishia Malawi.

Kama Mexico wame-lodge complaint, Tanzania tufuate utaratibu huo
Screenshot_20250131-144535.jpg
Screenshot_20250131-144535.jpg
 
Rais wa Mexico ameilalamikia kampuni ya Google kwa kuibadili jina ghuba ya Mexico na kuiita Ghuba ya America. Huu ni mwendelezo wa makampuni ya kibeberu kujaribu kubadili ramani ya dunia bila kushirikisha wadau.

Hivi karibuni, kampuni hiyo ya kibeberu ilibeba mzega mzega ziwa lote la Nyasa na kulihamishia Malawi.

Kama Mexico wame-lodge complaint, Tanzania tufuate utaratibu huoView attachment 3219808View attachment 3219808
Trump, Idiot-In-Chief wa Marekani, ndiye aliyebadilisha jina la Gulf of Mexico kuwa Gulf of America!
 
Rais wa Mexico ameilalamikia kampuni ya Google kwa kuibadili jina ghuba ya Mexico na kuiita Ghuba ya America. Huu ni mwendelezo wa makampuni ya kibeberu kujaribu kubadili ramani ya dunia bila kushirikisha wadau.

Hivi karibuni, kampuni hiyo ya kibeberu ilibeba mzega mzega ziwa lote la Nyasa na kulihamishia Malawi.

Kama Mexico wame-lodge complaint, Tanzania tufuate utaratibu huoView attachment 3219808View attachment 3219808
Ziwa Nyasa Nyerere na Kawawa walishakubali mpaka wa Tanzania na Malwai uko ufukwe wa mashariki.

That is a fact.
 
Back
Top Bottom