Arvin sloane
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 996
- 204
Zamani mtu akikuita JEMBE ni sifa nzuri mchapa kazi, hodari siku hizi limekuwa tusi eti kisa jembe lina tundu alafu mpini umeingia kwenye hilo tundu maana yake eti una cameroniwa (shoga)
kwa hiyo mtu akikuita jembe usikubali labda uwe ni mmoja wao(shoga)
kwa hiyo mtu akikuita jembe usikubali labda uwe ni mmoja wao(shoga)