Kumbe simba sc ushamba walianza kitambo

Gordian Anduru

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2021
Posts
369
Reaction score
747
Hawa mabwana walianza kujiita QUEENS baadae ikaonekana kuwa siyo vyema timu yenye wachezaji wa kiume kuitwa QUEENS

Wakaja wakajiita SUNDERLAND jina la mji mmoja huko UINGEREZA baadae ikaonekana haileti uhalisia ndipo wakajiita SIMBA
DAR ES SALAAM YOUNG AFRICANS toka KITAMBO HICHO jina lao hilo hilo tu

Pichani wakiwa picha rasmi ya kikosi kilichocheza fainali za Caf "'Abiola" cup 1993 kikiwa na Jezi za Man United
Yaani kama Yanga wangecheza fainali na jezi za Chelsea

Hawa majamaa bwana

 
Walianza kuitwa Dar esa salaam young africans, ikafata Yanga, ikafata kandambili, mara gongowazi, hatujakaa sawa vyura, kubwa kuliko yote UTOPOLO. Kula historia hiyo.
 
Ukishafakamia uji unajiona mjaaanja kumbe chura tu
 
Naona huu mwiko ulioshindiliwa leo huko nyuma ni mnene kweli!
 
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
Khaaaa kuna watu wanachekesha sana eti queens sasa wanaume Michele hao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…