Tetesi: Kumbe Sio Ushawishi Bali ni Vitisho vya Kimafia Vinatolewa!

Tetesi: Kumbe Sio Ushawishi Bali ni Vitisho vya Kimafia Vinatolewa!

Chakaza

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2007
Posts
40,455
Reaction score
73,145
Hii thread nimeipa hadhi kuwa ni TETESI hadi hapo itakapodhibitishwa.
Ni kwamba kuna watu wamelaumu sana wale wanaojitoa huku kwenda kule na kusema wanaunga mkono juhudi na kusema wanashawishiwa kwa pesa na vyeo.
Habari nilizokuta katika mtaani ni kuwa kuna kiongozi mmoja ambaye kesha timiza hilo lakini kakana kupokea pesa yeyote bali alitishiwa kimafia kabisa kuwa asipofanya hivyo atafanyiwa jambo baya la kulawitiwa na kupigwa picha na kusambazwa kwa jamii. Kweli kama ni hivyo mtu mwenye heshima kwa jamii na familia nyuma yake atafanyaje hapo?
Kwa maelezo yake sio wote wapewao fedha bali wengine wanatekeleza takwa hilo kulinda heshima zao tuu zisiharibiwe.
Kwa wajuzi wa mambo jee Tetesi hizi zaweza kuwa na mantiki? ukizingatia wengine muda mchache uliopita walitoa maneno makali sana kupinga mambo kadhaa iweje ghafla waseme wanaunga mkono?
JK alisema zakuambiwa changanya na za kwako
 
Kwa hiyo wakijiuzulu Ubunge au udiwani kwani ndio hawapotezi hishima?

Hiyo sijui ya kulawitiwa sijui kufwanywaje naona ni kisingizio tu cha kutafuta huruma.

Ila mlungula unahusika kwa asilimia kubwa, kukubali au kukataa inategemeana na msimamo wako.
 
Mmh kweli kama nihivyo basi wamewashika kwenye makorodani aisee mambo yakuchezeana tena viboga mh hata kama ningekuwa nimimi
 
Muulize CHAHALI knows better maana anasema kuna "KOMPROMAT", hata PAULO ame MKOMPOMAT mzee wetu. Amesema ipo siku ataelezea jambo hili vizuri.
Haiingii akili MTU aliyekuwa na msimamo huu June 2018 kisha July 2018 eti anaunga mkono juhudi. Zipi hizo kama sio vitisho vya kimafya kufanyika dhidi yake?
Ogopa kupasuliwa yai
 
Kwa hiyo wakijiuzulu Ubunge au udiwani kwani ndio hawapotezi hishima?

Hiyo sijui ya kulawitiwa sijui kufwanywaje naona ni kisingizio tu cha kutafuta huruma.

Ila mlungula unahusika kwa asilimia kubwa, kukubali au kukataa inategemeana na msimamo wako.
Haya naomba wewe uchague moja, aidha ulawitiwe huku unarekodiwa halafu picha zisambazwe mitandaoni, au uachie ubunge.
Heshima ipi uko tayari kuipoteza?

CHAGUA MOJA CHIEF.
 
Hii thread nimeipa hadhi kuwa ni TETESI hadi hapo itakapodhibitishwa.
Ni kwamba kuna watu wamelaumu sana wale wanaojitoa huku kwenda kule na kusema wanaunga mkono juhudi na kusema wanashawishiwa kwa pesa na vyeo.
Habari nilizokuta katika mtaani ni kuwa kuna kiongozi mmoja ambaye kesha timiza hilo lakini kakana kupokea pesa yeyote bali alitishiwa kimafia kabisa kuwa asipofanya hivyo atafanyiwa jambo baya la kulawitiwa na kupigwa picha na kusambazwa kwa jamii. Kweli kama ni hivyo mtu mwenye heshima kwa jamii na familia nyuma yake atafanyaje hapo?
Kwa maelezo yake sio wote wapewao fedha bali wengine wanatekeleza takwa hilo kulinda heshima zao tuu zisiharibiwe.
Kwa wajuzi wa mambo jee Tetesi hizi zaweza kuwa na mantiki? ukizingatia wengine muda mchache uliopita walitoa maneno makali sana kupinga mambo kadhaa iweje ghafla waseme wanaunga mkono?
JK alisema zakuambiwa changanya na za kwako
....mpaka uingie kwenye 18 za walawiti maana yake ulikuwa na Mawasiliano nao
 
Hai make sense yoyote.

Kama ni kutishiwa basi Lema ndiye angeongoza.
 
Ok, kama ulivyosema ni tetesi. Watu wenye akili timamu hua hawajadili tetesi.
 
Hai make sense yoyote.

Kama ni kutishiwa basi Lema ndiye angeongoza.
Mtoto wa mjini hatishwi bwana, angalia haiba ya wabunge na madiwani wanao unga mkono na kujitoa ni wa aina gani? pia sio wote wote wanatisha wengine ni fungu linatumika
 
Ok, kama ulivyosema ni tetesi. Watu wenye akili timamu hua hawajadili tetesi.
Tetesi ni kama habari ya kiuchunguzi hivyo mwenye lolote liwezalo kuifanya isiwe tetesi kwani anao ushahidi anaweka hapo. Huna la kuandika kula kona!
 
Hii thread nimeipa hadhi kuwa ni TETESI hadi hapo itakapodhibitishwa.
Ni kwamba kuna watu wamelaumu sana wale wanaojitoa huku kwenda kule na kusema wanaunga mkono juhudi na kusema wanashawishiwa kwa pesa na vyeo.
Habari nilizokuta katika mtaani ni kuwa kuna kiongozi mmoja ambaye kesha timiza hilo lakini kakana kupokea pesa yeyote bali alitishiwa kimafia kabisa kuwa asipofanya hivyo atafanyiwa jambo baya la kulawitiwa na kupigwa picha na kusambazwa kwa jamii. Kweli kama ni hivyo mtu mwenye heshima kwa jamii na familia nyuma yake atafanyaje hapo?
Kwa maelezo yake sio wote wapewao fedha bali wengine wanatekeleza takwa hilo kulinda heshima zao tuu zisiharibiwe.
Kwa wajuzi wa mambo jee Tetesi hizi zaweza kuwa na mantiki? ukizingatia wengine muda mchache uliopita walitoa maneno makali sana kupinga mambo kadhaa iweje ghafla waseme wanaunga mkono?
JK alisema zakuambiwa changanya na za kwako
Naina mnaendelea kupata tabu sana na bado
 
Kwa hiyo wakijiuzulu Ubunge au udiwani kwani ndio hawapotezi hishima?

Hiyo sijui ya kulawitiwa sijui kufwanywaje naona ni kisingizio tu cha kutafuta huruma.

Ila mlungula unahusika kwa asilimia kubwa, kukubali au kukataa inategemeana na msimamo wako.
Na kwanini mtu kama kapewa vitisho kama hivyo asiamue tu kujiuzulu na kuachana kabisa na siasa ili abaki na heshima yake kamili? Wanapotoka na kwenda chama tawala ndio wakubali kupewa majina na shutuma za kila aina hata kama zingine hazina ukweli
 
Back
Top Bottom