shonkoso
JF-Expert Member
- Mar 13, 2015
- 687
- 1,454
Zamani nilijua kila mwanamke anaweza kukata viuno.Nilijua wameumba hivyo sasa nimekuwa nikikitana na mabinti kadhaa wakija Ghetto, nikiwafungulia music wacheze wengi wao mauno magumu kama dona ya juzi.kumbe wakata viuno wa kwenye TV ni wachache sana