The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,282
- 117,244
Nilikuwa nashangaa mbona Everton wako vizuri season hii
na mbona Leicester city wako hovyo?
Kumbe yule mtaalam wao wa usajili kahamia Everton
na tayari kasaini kifaa kikali kuliko Ngolo Kante
kuliko Pogba.....hapo Everton....
Sijui why Leicester walikubali huyu jamaa aondoke
na mbona Leicester city wako hovyo?
Kumbe yule mtaalam wao wa usajili kahamia Everton
na tayari kasaini kifaa kikali kuliko Ngolo Kante
kuliko Pogba.....hapo Everton....
Sijui why Leicester walikubali huyu jamaa aondoke