MBONA Wenger si alikuwa mtaalam wa kusajili na bado yupo lakini usajili zero- Leicester was just a one season wonderNilikuwa nashangaa mbona Everton wako vizuri season hii
na mbona Leicester city wako hovyo?
Kumbe yule mtaalam wao wa usajili kahamia Everton
na tayari kasaini kifaa kikali kuliko Ngolo Kante
kuliko Pogba.....hapo Everton....
Sijui why Leicester walikubali huyu jamaa aondoke
MBONA Wenger si alikuwa mtaalam wa kusajili na bado yupo lakini usajili zero- Leicester was just a one season wonder
league ndio kwanza imeanza,come Christmas hawa Everton watakuwa kwenye nafasi yao,middle tierUnaweza kuwa hujamsoma huyu Steve Walsh vizuri
yeye sio kocha...Wenger ni kocha
Huyu Steve ana kipaji cha kugundua kipajji ambacho wengine hawakiona
na sio tu Leicester kawasaidia
hata Chelsea aliwasaidia........
akipat kocha mzuri kama huyu wa Everton wa sasa combination yake ni hatari sana
itazame Everton now.....ndo timu pekee na Man City hawajafungwa so far
Ronald Koeman ni mmoja ya makocha bora sana kumbuka msimu uliopita alimaliza nafasi ya 6 na Southampton kwenye msimu wake wa kwanza EPL,Licha ya kuondekewa na kocha wao na baadhi ya wachezaji muhimu.Wachezaji kama Mane,Fonte,Forster,Pelle,Wanyama,Tadic,Bertrand na Van Djik walifanya vizuri sana chini ya Koeman msimu uliopita na walifanikiwa kuzifunga Chelsea,Man City,Man United,Arsenal,Tottenham,West HamEverton ndo timu ya ku surprise watu this season
hawatachukua ubingwa but watamaliza top six au four for sure
naweza ku bet on that
Naielewa hofu yako mkuu..usijali lakini muujiza waweza tokea wakawa timu mbovu leoLC mbona bdo wako vzr