Kumbe Tshisekedi aliingia mkataba na Museveni, Odinga na Kagame kabla ya uchaguzi wa 2018 alioushinda

Kumbe Tshisekedi aliingia mkataba na Museveni, Odinga na Kagame kabla ya uchaguzi wa 2018 alioushinda

Stuxnet

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2011
Posts
13,417
Reaction score
23,310
MKATABA WA KUMWEKA FELIX TCHISEKEDI MADARAKANI
Mnamo Tarehe 22/11/2018, siku ya Alhamisi katika eneo la Upper Hill kwenye ofisi ya Mzee RAILA AMORO ODINGA kulifanyika mkutano, Ajenda kuu ya mkutano huo ilikuwa ni jinsi ya kuchukua madaraka ya Congo baada ya JOSEPH kumaliza muda wake;na pia kupanga mikakati mahsusi ya uendeshaji wa Kampeni za mgombea wao.
Mkutano huo ulihusisha wajumbe kutoka Rwanda, Uganda, Congo na Kenya. Aidha, Wajumbe wote waliohudhuria walibeba masharti yenye maslahi kwa nchi zao.Mathalan, Uganda ilikuja na masharti kuwa kama FELIX TCHISEKEDI angelitaka kuungwa mkono na Uganda katika kampeni za Urais; yafuatayo yalipaswa kuzingatiwa:
Kampuni ya mafuta ya TOTAL inabakia nchini DRC hata baada ya kushika Madaraka ya nchi hiyo. atakaposhika madaraka.
Akubali kuacha huru kikundi cha waasi wa ADF kuendelea kufanya harakati zake nchini Congo.
Kwa upande wa Rwanda,ilikuja na masharti yafuatayo:
FELIX TCHISEKEDI amsaidie kumng’oa Mamlakani PETER NKURUNZINZA, Rais wa Burundi
Awaache huru Wanyamurenge walioko DRC na akubali kuwapatia Wilaya.
Amuachie Jenerali PAUL KAGAME jimbo la Kivu ya kusini kama kitega uchumi chake
Ni Dhahiri kuwa masharti hayo yaliwekwa na kwa shinikizo la Marais YOWERI KAGUTA MUSEVENI wa Uganda na PAUL KAGAME wa Rwanda. RAILA ODINGA kwa upande wake kama muwakilishi wa Kenya hakuweka wazi masharti ya Kenya.
Mwanzo FELIX TCHISEKEDI hakukubaliana na masharti hayo na kusema kuwa yeye hayupo tayari kukubali masharti hayo maana lengo lake ni kutafuta suluhu ya Kivu ya kaskazini na Kivu ya Kusini. Baada ya Tchisekedi kusita, walikaa kando RAILA ODINGA, FELIX TCHISEKEDI na VITALI KAMERHE na baada ya kurejea ukumbini FELIX alikubali kusaini nyaraka za makubaliano. Hapo Rwanda na Uganda wakapitisha kuwa mgombea na kuahidi kumuunga mkono na kumsaidia katika gharama za kampeni.
MUTOMBO LAURENT ndiye aliyekuwa muwakilishi kutoka Kinshasa alitumwa na Rais JOSEPH KABILA kuja kushuhudia makubaliano hayo. Sharti la Rais JOSEPH KABILA lilikuwa kwamba FELIX TCHISEKEDI akikubali kusaini mkataba wenye masharti ya Uganda na Rwanda basi JOSEPH KABILA ataridhia kumuachia madaraka na kuhakikisha kuwa FELIX TCHISEKEDI anakuwa Rais mpya wa Congo kwa gharama yoyte ile.
Kesho yake, ilikuwa tarehe 23/11/2018 ilikuwa ni siku ya kuhitimisha mikataba ilisainiwa. Mkataba huu ulikuwa ni muendelezo wa mkataba ambao ulimwingiza JOSEPH KABILA madarakani kufuatia kifo cha Rais LAURENT DESIRE KABILA. Kwa mantiki hiyo, kuna uwezekano mkubwa kuwa generali PAUL KAGAME na YOWERI KAGUTA MUSEVENI kuhusika na kifo cha Rais LAURENT DESIRE Kabila. Hii ilifanyika ili kupata mwanya wa kupora mali ya Congo kwa urahisi. Sasa mkataba huo umegeuzwa kuwa moja ya vigezo vya kuwa rais wa Congo.
Mapema tarehe 27/11/2018 sherehe ya kifahari ilifanyika Jijini Nairobi Kenya kwa lengo la kuweka wakfu muungano wa chama cha UDPS cha FELIX TCHISEKEDI na chama cha UNC kinachoongozwa na VITAL KAMERHE. Muungano kati ya vyama hivi viwili unafahamika kama CACH.
 
Hata Baba yake Kabila aliingia makubaliano ya kipuuzi baada ya mwaka mmoja akashindwa kuyaekeleza. Sishangai hii nadharia

Ukiangalia kwa makini utagundua Marais wote wa Congo kuanzia Kabila Sr walisaidiwa na Rwanda na Uganda lakini baada ya mwaka au miezi wameyafukuza majeshi ya nchi hizohizo zilizozisaidia.

Tshekedi alikuwa karibu saana na Kagame kabla ya 2020...kila mara alikuwa Kigali.

Ndiyo makosa hayo hayo anayoyarudia Nangaa.....poor DRC.
 
Akubali kuacha huru kikundi cha waasi wa ADF kuendelea kufanya harakati zake nchini Congo.
Hiki kikundi kuendelea kuwepo Drc kinaifaidisha vipi Uganda?

MKATABA WA KUMWEKA FELIX TCHISEKEDI MADARAKANI
Mnamo Tarehe 22/11/2018, siku ya Alhamisi katika eneo la Upper Hill kwenye ofisi ya Mzee RAILA AMORO ODINGA kulifanyika mkutano, Ajenda kuu ya mkutano huo ilikuwa ni jinsi ya kuchukua madaraka ya Congo baada ya JOSEPH kumaliza muda wake;na pia kupanga mikakati mahsusi ya uendeshaji wa Kampeni za mgombea wao.
Mkutano huo ulihusisha wajumbe kutoka Rwanda, Uganda, Congo na Kenya. Aidha, Wajumbe wote waliohudhuria walibeba masharti yenye maslahi kwa nchi zao.Mathalan, Uganda ilikuja na masharti kuwa kama FELIX TCHISEKEDI angelitaka kuungwa mkono na Uganda katika kampeni za Urais; yafuatayo yalipaswa kuzingatiwa:
Kampuni ya mafuta ya TOTAL inabakia nchini DRC hata baada ya kushika Madaraka ya nchi hiyo. atakaposhika madaraka.
Akubali kuacha huru kikundi cha waasi wa ADF kuendelea kufanya harakati zake nchini Congo.
Kwa upande wa Rwanda,ilikuja na masharti yafuatayo:
FELIX TCHISEKEDI amsaidie kumng’oa Mamlakani PETER NKURUNZINZA, Rais wa Burundi
Awaache huru Wanyamurenge walioko DRC na akubali kuwapatia Wilaya.
Amuachie Jenerali PAUL KAGAME jimbo la Kivu ya kusini kama kitega uchumi chake
Ni Dhahiri kuwa masharti hayo yaliwekwa na kwa shinikizo la Marais YOWERI KAGUTA MUSEVENI wa Uganda na PAUL KAGAME wa Rwanda. RAILA ODINGA kwa upande wake kama muwakilishi wa Kenya hakuweka wazi masharti ya Kenya.
Mwanzo FELIX TCHISEKEDI hakukubaliana na masharti hayo na kusema kuwa yeye hayupo tayari kukubali masharti hayo maana lengo lake ni kutafuta suluhu ya Kivu ya kaskazini na Kivu ya Kusini. Baada ya Tchisekedi kusita, walikaa kando RAILA ODINGA, FELIX TCHISEKEDI na VITALI KAMERHE na baada ya kurejea ukumbini FELIX alikubali kusaini nyaraka za makubaliano. Hapo Rwanda na Uganda wakapitisha kuwa mgombea na kuahidi kumuunga mkono na kumsaidia katika gharama za kampeni.
MUTOMBO LAURENT ndiye aliyekuwa muwakilishi kutoka Kinshasa alitumwa na Rais JOSEPH KABILA kuja kushuhudia makubaliano hayo. Sharti la Rais JOSEPH KABILA lilikuwa kwamba FELIX TCHISEKEDI akikubali kusaini mkataba wenye masharti ya Uganda na Rwanda basi JOSEPH KABILA ataridhia kumuachia madaraka na kuhakikisha kuwa FELIX TCHISEKEDI anakuwa Rais mpya wa Congo kwa gharama yoyte ile.
Kesho yake, ilikuwa tarehe 23/11/2018 ilikuwa ni siku ya kuhitimisha mikataba ilisainiwa. Mkataba huu ulikuwa ni muendelezo wa mkataba ambao ulimwingiza JOSEPH KABILA madarakani kufuatia kifo cha Rais LAURENT DESIRE KABILA. Kwa mantiki hiyo, kuna uwezekano mkubwa kuwa generali PAUL KAGAME na YOWERI KAGUTA MUSEVENI kuhusika na kifo cha Rais LAURENT DESIRE Kabila. Hii ilifanyika ili kupata mwanya wa kupora mali ya Congo kwa urahisi. Sasa mkataba huo umegeuzwa kuwa moja ya vigezo vya kuwa rais wa Congo.
Mapema tarehe 27/11/2018 sherehe ya kifahari ilifanyika Jijini Nairobi Kenya kwa lengo la kuweka wakfu muungano wa chama cha UDPS cha FELIX TCHISEKEDI na chama cha UNC kinachoongozwa na VITAL KAMERHE. Muungano kati ya vyama hivi viwili unafahamika kama CACH.
Nadharia njama hizi ...
 
Hata Baba yake Kabila aliingia makubaliano ya kipuuzi baada ya mwaka mmoja akashindwa kuyaekeleza.

Ukiangalia kwa makini utagundua Marais wote wa Congo kuanzia Kabila Sr walisaidiwa na Rwanda na Uganda lakini baada ya mwaka au miezi wameyafukuza majeshi ya nchi hizohizo zilizozisaidia.

Tshekedi alikuwa karibu saana na Kagame kabla ya 2020...kila mara alikuwa Kigali.

Ndiyo makosa hayo hayo anayoyarudia Nangaa.....poor DRC.
Ni uroho tu wa madaraka wa watu weusi aiseee,
Hakuna kingine
 
Hata Baba yake Kabila aliingia makubaliano ya kipuuzi baada ya mwaka mmoja akashindwa kuyaekeleza.

Ukiangalia kwa makini utagundua Marais wote wa Congo kuanzia Kabila Sr walisaidiwa na Rwanda na Uganda lakini baada ya mwaka au miezi wameyafukuza majeshi ya nchi hizohizo zilizozisaidia.

Tshekedi alikuwa karibu saana na Kagame kabla ya 2020...kila mara alikuwa Kigali.

Ndiyo makosa hayo hayo anayoyarudia Nangaa.....poor DRC.
Yeah!... wanasiasa wa Drc wamekuwa wakiitegemea mno Rwanda kutwaa madaraka nchini kwao.

Huyo Nangaa anatumika tu na PK.
 
Hii ni sawa na mashabiki wawili wa Simba na Yanga wanapo-bet kuwa mmoja akifungwa atamtoa mkewe kwa hasimu wake!
 
Yeah!... wanasiasa wa Drc wamekuwa wakiitegemea mno Rwanda kutwaa madaraka nchini kwao.

Huyo Nangaa anatumika tu na PK.
Nangaa anarudia makosa aliyofanya Kabila I, aliyofanya Kabila II na aliyofanya Tshekedi.
 
MKATABA WA KUMWEKA FELIX TCHISEKEDI MADARAKANI
Mnamo Tarehe 22/11/2018, siku ya Alhamisi katika eneo la Upper Hill kwenye ofisi ya Mzee RAILA AMORO ODINGA kulifanyika mkutano, Ajenda kuu ya mkutano huo ilikuwa ni jinsi ya kuchukua madaraka ya Congo baada ya JOSEPH kumaliza muda wake;na pia kupanga mikakati mahsusi ya uendeshaji wa Kampeni za mgombea wao.
Mkutano huo ulihusisha wajumbe kutoka Rwanda, Uganda, Congo na Kenya. Aidha, Wajumbe wote waliohudhuria walibeba masharti yenye maslahi kwa nchi zao.Mathalan, Uganda ilikuja na masharti kuwa kama FELIX TCHISEKEDI angelitaka kuungwa mkono na Uganda katika kampeni za Urais; yafuatayo yalipaswa kuzingatiwa:
Kampuni ya mafuta ya TOTAL inabakia nchini DRC hata baada ya kushika Madaraka ya nchi hiyo. atakaposhika madaraka.
Akubali kuacha huru kikundi cha waasi wa ADF kuendelea kufanya harakati zake nchini Congo.
Kwa upande wa Rwanda,ilikuja na masharti yafuatayo:
FELIX TCHISEKEDI amsaidie kumng’oa Mamlakani PETER NKURUNZINZA, Rais wa Burundi
Awaache huru Wanyamurenge walioko DRC na akubali kuwapatia Wilaya.
Amuachie Jenerali PAUL KAGAME jimbo la Kivu ya kusini kama kitega uchumi chake
Ni Dhahiri kuwa masharti hayo yaliwekwa na kwa shinikizo la Marais YOWERI KAGUTA MUSEVENI wa Uganda na PAUL KAGAME wa Rwanda. RAILA ODINGA kwa upande wake kama muwakilishi wa Kenya hakuweka wazi masharti ya Kenya.
Mwanzo FELIX TCHISEKEDI hakukubaliana na masharti hayo na kusema kuwa yeye hayupo tayari kukubali masharti hayo maana lengo lake ni kutafuta suluhu ya Kivu ya kaskazini na Kivu ya Kusini. Baada ya Tchisekedi kusita, walikaa kando RAILA ODINGA, FELIX TCHISEKEDI na VITALI KAMERHE na baada ya kurejea ukumbini FELIX alikubali kusaini nyaraka za makubaliano. Hapo Rwanda na Uganda wakapitisha kuwa mgombea na kuahidi kumuunga mkono na kumsaidia katika gharama za kampeni.
MUTOMBO LAURENT ndiye aliyekuwa muwakilishi kutoka Kinshasa alitumwa na Rais JOSEPH KABILA kuja kushuhudia makubaliano hayo. Sharti la Rais JOSEPH KABILA lilikuwa kwamba FELIX TCHISEKEDI akikubali kusaini mkataba wenye masharti ya Uganda na Rwanda basi JOSEPH KABILA ataridhia kumuachia madaraka na kuhakikisha kuwa FELIX TCHISEKEDI anakuwa Rais mpya wa Congo kwa gharama yoyte ile.
Kesho yake, ilikuwa tarehe 23/11/2018 ilikuwa ni siku ya kuhitimisha mikataba ilisainiwa. Mkataba huu ulikuwa ni muendelezo wa mkataba ambao ulimwingiza JOSEPH KABILA madarakani kufuatia kifo cha Rais LAURENT DESIRE KABILA. Kwa mantiki hiyo, kuna uwezekano mkubwa kuwa generali PAUL KAGAME na YOWERI KAGUTA MUSEVENI kuhusika na kifo cha Rais LAURENT DESIRE Kabila. Hii ilifanyika ili kupata mwanya wa kupora mali ya Congo kwa urahisi. Sasa mkataba huo umegeuzwa kuwa moja ya vigezo vya kuwa rais wa Congo.
Mapema tarehe 27/11/2018 sherehe ya kifahari ilifanyika Jijini Nairobi Kenya kwa lengo la kuweka wakfu muungano wa chama cha UDPS cha FELIX TCHISEKEDI na chama cha UNC kinachoongozwa na VITAL KAMERHE. Muungano kati ya vyama hivi viwili unafahamika kama CACH.
 
Nangaa anarudia makosa aliyofanya Kabila I, aliyofanya Kabila II na aliyofanya Tshekedi.
Tatizo wanatamani mno kupata madaraka na watapokea msaada kwa yeyote Ili kufanikisha hilo.

Ila cha kusikitisha ni raia wao wanalipia makosa yao.
 
Ni uroho tu wa madaraka wa watu weusi aiseee,
Hakuna kingine
Kuna mikono ya mataifa mengi saana DRC....Wamarekani wenyewe wapo pale kutetea maslahi ya makampuni yao yanayohitaji malighafi kutoka Congo.

Mkurungezi wa zamani wa shirika la ujasusi la Rwanda alitoboa hii siri.
 
MKATABA WA KUMWEKA FELIX TCHISEKEDI MADARAKANI
Mnamo Tarehe 22/11/2018, siku ya Alhamisi katika eneo la Upper Hill kwenye ofisi ya Mzee RAILA AMORO ODINGA kulifanyika mkutano, Ajenda kuu ya mkutano huo ilikuwa ni jinsi ya kuchukua madaraka ya Congo baada ya JOSEPH kumaliza muda wake;na pia kupanga mikakati mahsusi ya uendeshaji wa Kampeni za mgombea wao.
Mkutano huo ulihusisha wajumbe kutoka Rwanda, Uganda, Congo na Kenya. Aidha, Wajumbe wote waliohudhuria walibeba masharti yenye maslahi kwa nchi zao.Mathalan, Uganda ilikuja na masharti kuwa kama FELIX TCHISEKEDI angelitaka kuungwa mkono na Uganda katika kampeni za Urais; yafuatayo yalipaswa kuzingatiwa:
Kampuni ya mafuta ya TOTAL inabakia nchini DRC hata baada ya kushika Madaraka ya nchi hiyo. atakaposhika madaraka.
Akubali kuacha huru kikundi cha waasi wa ADF kuendelea kufanya harakati zake nchini Congo.
Kwa upande wa Rwanda,ilikuja na masharti yafuatayo:
FELIX TCHISEKEDI amsaidie kumng’oa Mamlakani PETER NKURUNZINZA, Rais wa Burundi
Awaache huru Wanyamurenge walioko DRC na akubali kuwapatia Wilaya.
Amuachie Jenerali PAUL KAGAME jimbo la Kivu ya kusini kama kitega uchumi chake
Ni Dhahiri kuwa masharti hayo yaliwekwa na kwa shinikizo la Marais YOWERI KAGUTA MUSEVENI wa Uganda na PAUL KAGAME wa Rwanda. RAILA ODINGA kwa upande wake kama muwakilishi wa Kenya hakuweka wazi masharti ya Kenya.
Mwanzo FELIX TCHISEKEDI hakukubaliana na masharti hayo na kusema kuwa yeye hayupo tayari kukubali masharti hayo maana lengo lake ni kutafuta suluhu ya Kivu ya kaskazini na Kivu ya Kusini. Baada ya Tchisekedi kusita, walikaa kando RAILA ODINGA, FELIX TCHISEKEDI na VITALI KAMERHE na baada ya kurejea ukumbini FELIX alikubali kusaini nyaraka za makubaliano. Hapo Rwanda na Uganda wakapitisha kuwa mgombea na kuahidi kumuunga mkono na kumsaidia katika gharama za kampeni.
MUTOMBO LAURENT ndiye aliyekuwa muwakilishi kutoka Kinshasa alitumwa na Rais JOSEPH KABILA kuja kushuhudia makubaliano hayo. Sharti la Rais JOSEPH KABILA lilikuwa kwamba FELIX TCHISEKEDI akikubali kusaini mkataba wenye masharti ya Uganda na Rwanda basi JOSEPH KABILA ataridhia kumuachia madaraka na kuhakikisha kuwa FELIX TCHISEKEDI anakuwa Rais mpya wa Congo kwa gharama yoyte ile.
Kesho yake, ilikuwa tarehe 23/11/2018 ilikuwa ni siku ya kuhitimisha mikataba ilisainiwa. Mkataba huu ulikuwa ni muendelezo wa mkataba ambao ulimwingiza JOSEPH KABILA madarakani kufuatia kifo cha Rais LAURENT DESIRE KABILA. Kwa mantiki hiyo, kuna uwezekano mkubwa kuwa generali PAUL KAGAME na YOWERI KAGUTA MUSEVENI kuhusika na kifo cha Rais LAURENT DESIRE Kabila. Hii ilifanyika ili kupata mwanya wa kupora mali ya Congo kwa urahisi. Sasa mkataba huo umegeuzwa kuwa moja ya vigezo vya kuwa rais wa Congo.
Mapema tarehe 27/11/2018 sherehe ya kifahari ilifanyika Jijini Nairobi Kenya kwa lengo la kuweka wakfu muungano wa chama cha UDPS cha FELIX TCHISEKEDI na chama cha UNC kinachoongozwa na VITAL KAMERHE. Muungano kati ya vyama hivi viwili unafahamika kama CACH.
Hawa ni wenzetu
Je sisi ni mikataba mingapi imesainiwa uvunguni?
 
Back
Top Bottom