Kumbe tusi "stupid" alilotamka Rais lilikuwa linaihusu cycle yake

Kumbe tusi "stupid" alilotamka Rais lilikuwa linaihusu cycle yake

Thailand

JF-Expert Member
Joined
Nov 15, 2019
Posts
275
Reaction score
795
Mpaka sasa wezi wa mabilioni ya shilingi za watanzania wapo uraiani wanajipongeza kuibia watanzania.

Screenshot_20230406-171830.jpg
Watu wanaiba mabilioni ya shilingi halafu Rais anatukana, badala achukue hatua za KUWAACHISHA KAZI NA KUFILISIWA.

Screenshot_20230406-171852.jpg
Rais ndo Amiri jeshi mkuu means ndo anatakiwa kuwa mstari wa mbele kupambana na uharifu hasa ufisadi unaondelea kwa baadhi ya viongozi wake.

Tungekuwa na Rais serious mpaka sasa hawa mawaziri hawatakiwi kuwa kwenye nafasi za uwaziri kutoka na UFISADI WA KUTISHA KUTOKEA KWENYE WIZARA ZAO;
1. Mwingulu Nchemba,
2. Nape Nnauye,
3. Pro. Mbalawa Makame,
4. Ummy Mwalimu,
Na wengineo ambao Report ya CAG imewamulika.

Lakini kwa kuwa viongozi mnaona kutubia wananchi ni jambo la heri, muda si mrefu mtakuja kujuta kiroho. Maana Rais hata tusi lile kashindwa kulionesha kwa vitendo means mnamcheka na kumuona kajitukana mwenyewe.
 
Mpaka sasa wezi wa mabilioni ya shilingi za watanzania wapo uraiani wanajipongeza kuibia watanzania.
View attachment 2579300
Watu wanaiba mabilioni ya shilingi halafu rais anatukana, badala achukue hatua za KUWAACHISHA KAZI NA KUFILISIWA.
View attachment 2579302
Rais ndo Amiri jeshi mkuu means ndo anatakiwa kuwa mstari wa mbele kupambana na uharifu hasa UFISADI unaondelea kwa baadhi ya viongozi wake.
Tungekuwa na rais serious mpaka sasa hawa mawaziri hawatakiwi kuwa kwenye nafasi za uwaziri kutoka na UFISADI WA KUTISHA KUTOKEA KWENYE WIZARA ZAO;
1. Mwingulu Nchemba,
2. Nape Nnauye,
3. Pro. Mbalawa Makame,
4. Ummy Mwalimu,
Na wengineo ambao Report ya CAG imewamulika.
Lakini kwa kuwa viongozi mnaona kutubia wananchi ni jambo la heri, muda si mrefu mtakuja kujuta kiroho. Maana rais hata tusi lile kashindwa kulionesha kwa vitendo means mnamcheka na kumuona kajitukana mwenyewe.
Katibu mkuu ndiye warrant holder na si waziri. Waziri ni mpiga kelele tu ingawa anaweza kusaidia kuzuia.
 
Mkiona mtu anapaniki kwenye public ujue huku nyuma hana maamuzi yoyote.

Ni sawa na mbwa koko anaweza bwekea hata kivuli chake ila nazi changa ikidondoka tu kwenye mnazi anatoka nduki na mkia kaufyata.
 
Mkiona mtu anapaniki kwenye public ujue huku nyuma hana maamuzi yoyote.

Ni sawa na mbwa koko anaweza bwekea hata kivuli chake ila nazi changa ikidondoka tu kwenye mnazi anatoka nduki na mkia kaufyata.
Umeandika ukweli mtupu. Siku zote mtu mwenye nguvu, atachukua hatua kwa vitendo. Na yule asiye na nguvu, ataishia tu kulalamika.
 
Najaribu kuwaza hivi tungekua tumemchagua kwa kura zetu kabisaaa ingekuaje
 
Mpaka sasa wezi wa mabilioni ya shilingi za watanzania wapo uraiani wanajipongeza kuibia watanzania.

Watu wanaiba mabilioni ya shilingi halafu Rais anatukana, badala achukue hatua za KUWAACHISHA KAZI NA KUFILISIWA.

Rais ndo Amiri jeshi mkuu means ndo anatakiwa kuwa mstari wa mbele kupambana na uharifu hasa ufisadi unaondelea kwa baadhi ya viongozi wake.

Tungekuwa na Rais serious mpaka sasa hawa mawaziri hawatakiwi kuwa kwenye nafasi za uwaziri kutoka na UFISADI WA KUTISHA KUTOKEA KWENYE WIZARA ZAO;
1. Mwingulu Nchemba,
2. Nape Nnauye,
3. Pro. Mbalawa Makame,
4. Ummy Mwalimu,
Na wengineo ambao Report ya CAG imewamulika.

Lakini kwa kuwa viongozi mnaona kutubia wananchi ni jambo la heri, muda si mrefu mtakuja kujuta kiroho. Maana Rais hata tusi lile kashindwa kulionesha kwa vitendo means mnamcheka na kumuona kajitukana mwenyewe.
Kila siku anabadilisha mawaziri hao kwa nini hua anawaacha?
 
Ukiwa makini hapa utajua majizi haya makubwa kwanza ni machawi Rais atapiga kelele mwisho wasiku yatapita, tazama yameshagawa pesa kwa spika wa bunge anasema raisi hakumaanisha wote wanao mzunguka wampishe bali baadhi, alijuaje fikra za Raisi kama sio amepewa pesa. Maana huwezi kuwalinda wezi bila kunufaika na wizi wao.
 
Inawezekana. Ndio maana pengine aliwaambia wakitaka watupishe, wasipotaka je?
Mbona mawaziri wengine kawatoa na wengine anawaambia kama wakitaka wampishe?
Anawaogopa?
 
January makamba anatakiwa ajiuzulu yule sema na yeye wapiga kura wake hawaelewi chochote.
 
Tusi chupidi ni mwarobaini kwa mafisadi,hela zilizoibwa zitarudishwa na wezi wote watakula mvua za kutosha famasihara na neno chupidi wewe

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom