Kumbe uchumi wote wa dunia umeshikwa na Israel?

Status
Not open for further replies.
Kama ulimwengu unaiogopa kwa vita kwa nini sasa Marekani inaipa misaada kibao?

Hebu acheni ujinga nyie watu khaaa!

ujue sasa hivi hakuna hata bomu limetua pale Tel aviv lakini ukienda upande wa pili kumetibuliwa vibaya.
 
Utafiti unaonesha vifo vya ghafla kwa watumiaji wa internet .
 
We si umesema ni m USA imekuaje tena unalilia Tanzania na CDM? Akili yako ngumu sana kupambanua mambo, lala upumzike maana huko bado ndo kwanza saumu imepamba moto.

Anataka tujue yupo USA wabongo tuna ushamba sana.
 
Halafu ndio hao hao hawamkubali Yesu aleyhi salaam na wakamtundika msalabani na biblia wakaiandika kuwa, kila atundikwae msalabani ana laana, halafu kuna misukule humu wanawashabikia. Ni maajabu.

Ohoo uzi unafungwa sasa hivi huu!! Mama mwenye nyumba kaja.
 
25%Apple inc inamilikwa na saud prince talat
20% ya nokia pia ipo mikomoni mwa warabu
Hilton hotels
Movenpick
Sheraton
Qantas
France airlines
Swiss airline
Starwood hotels
Hyatt hotels
BP
Total
Citi bank
Hscb bank
Man city
Liverpool
Haroods

Etisalat
Htc
Airbus
Hizooo zote warabu wana hisa ya zaidi ya 20 %
Hata makamouni kama cikes pepsi wameuza hisa zao kwa waraabu
Wayahudi wanasaidiwa tu kama afrika
Wakinyimwa misaada leo basi ni kaputi
Ndio maana usa akinyanyua mdimo wake wanaufyata
 
ujue sasa hivi hakuna hata bomu limetua pale Tel aviv lakini ukienda upande wa pili kumetibuliwa vibaya.

Kwa hiyo?

Ndo unataka kunambia mungu anayakamata mabomu ya HAMAS yasiangukie huko Tel Aviv?

Kila mtu anajua sila za Israel nyingi ni za Kimarekani.

Na kwenye silaha conventional hapa duniani hakuna zaidi ya Mmarekani.

Nuff said.
 
Asingewaua Hitler na Muhamad hawa jamaa ingekuwa balaa kwenye hii sayari.
 

Hahahaha. Kumbe na nyie mnafundishwa kubisha hata pale unapoona ukweli. PADRE ni mwalim kama walivyo waalim wengine wanafundisha ili watu wawe na akili ya kupambanua mambo sio kubisha kipuuzi
 
Hata roman abromovich wa chelsea ni myahudi sema ana uraia wa russia..pia hata dogo wa facebook ni myahudi
 
Jewish people are overrepresented in fields as diverse as politics, science, the wealthiest americans, art, etc. compared to their population size. Jewish people are only 2% of Americans but they make up about 10% of senators, about 25% of nobel prize winners and fields medal winners, 20% of the wealthiest 400 americans, etc.-according to The Strange Dope (Why are Jewish people so disproportionately successful - Straight Dope Message Board)

Jews control the world (according to Time Line Of Jewish World Domination | Real Jew News) soma hapa time line of jewish world domination.

Walishafanyiwa hujuma nyingi lakini wamepita...nawakubali sana!!
 

Wamesahau hata bush alitaka kubinafsisha bandari ya merekani kwa muarabu chezeya pesa weye
 
Kwa hiyo?

Ndo unataka kunambia mungu anayakamata mabomu ya HAMAS yasiangukie huko Tel Aviv?

Kila mtu anajua sila za Israel nyingi ni za Kimarekani.

Na kwenye silaha conventional hapa duniani hakuna zaidi ya Mmarekani.

Nuff said.

Hapa kweli ni sawa na mwalim wa hisabati aanze kufundisha intregration kabla ya differentiation.
 
Sikiliza nikuambie kitu israel ni nchi ya ahadi na ukifuatilia wavumbuzi wa vitu karibu wote duniani japo hawaishi israeli ni raiya wa nchi hiyo na huwa wanafanya mambo yao kwa maono hutaki unaacha.


It has nothing to do with 'ahadi' as you call it. It boils down to research funding, they have been leading the world in research funding for years spending not less than 4.5% of their GPD on research compare to only 2.7% for the biggest economy USA. In short they have invested massively in research and development and their government funds all those from inception to full commercialization.
 

Kwahiyo na nyie mnaoshabikia wayahudi. ni wayahudi au mnamilikiwa na wayahudi?
sisi sio wayahudi. kwani wewe ni mwarabu au ?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…