Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Hahahahaa NIMEIPENDA SANA hii dini
Nasikilizia channel ten mambo yetu ya kufungaaa
ANASEMA sheikh wangu kama ikitokea una hamu yoyote na mkeo KIPINDI hiki cha mfungo
Ikitokea ukampitia mchana
Basi kulipixa Ile unatakiwa ufunge siku sitini ama ukasaidie wenye shida sitini ndio unasemehewa ukichokifanya
Kwa kweli kwangu hili
NINGEKUWA na
60*10
Kwenye hizo siku thelathini
YAAN hao wenye shida wangenijua gafla maana doh m mchana kabisaa Niko na mwenzangu zinipande mchana nikuache thubuutuu
Nasikilizia channel ten mambo yetu ya kufungaaa
ANASEMA sheikh wangu kama ikitokea una hamu yoyote na mkeo KIPINDI hiki cha mfungo
Ikitokea ukampitia mchana
Basi kulipixa Ile unatakiwa ufunge siku sitini ama ukasaidie wenye shida sitini ndio unasemehewa ukichokifanya
Kwa kweli kwangu hili
NINGEKUWA na
60*10
Kwenye hizo siku thelathini
YAAN hao wenye shida wangenijua gafla maana doh m mchana kabisaa Niko na mwenzangu zinipande mchana nikuache thubuutuu