Elections 2010 Kumbe ukweli ndio huuuuu, ...........................

Huyo mtoa mada karogwa? Ukiona mijitu sampuli hiyo ifuatilie utagundua si raia anatafuta sifa ili apewe uraia kirahisi.Unamuombea jk afya njema wakati imeshayumba?Wewe huna akili muulize huyu rais wako kama analala na mke wake!
 
Huyo mtoa mada karogwa? Ukiona mijitu sampuli hiyo ifuatilie utagundua si raia anatafuta sifa ili apewe uraia kirahisi.Unamuombea jk afya njema wakati imeshayumba?Wewe huna akili muulize huyu rais wako kama analala na mke wake!

Huyo mtoa mada karogwa (UMEONA EEEH KUMBE NI WW ULIYE ROGWA)? Ukiona mijitu (KUMBE WEWE NI NYANI) sampuli hiyo ifuatilie utagundua si raia (WEWE BABA YAKO SIO YULE MSOMALI WEWE UNAFIKIRI HATUKUJUI) anatafuta sifa (WEWE UNATAFUTA CHEO KWA SLAA) ili apewe uraia kirahisi (NI RAIA WALA SIHITAJI KUPEWA) .Unamuombea jk (CHAGUO LA WATANZANIA WALIO WENGI) afya njema wakati imeshayumba (WEWE MBONA YAKO HUISEMI, KIFUA UUMWACHO KILA SIKU SIO NGWE NGWE HIYO) ?Wewe huna akili (KUMBE WEWE NI MNYAMA ) muulize huyu rais wako (RAIS WETU WOTE KWA MUJIBU WA KATIBA) kama analala na mke wake (KUMBE ANALALA NA WEWE ANAKUPIGA KIPARA KILA SIKU, MTAMUU EEEEEH )
 
Hakuna ki2 kilichoniuz kama jk kuingia madarakan kwan ha2mtaki bt ndo kesha kuwa prezda 2kubali 2. Du sisiem noma yan kama jambaz basi ni yule jambaz sugu.
 
Aache kuanguka hovyo majukwaani, mwambie apunguze ngono maana afya yake mgogoro.
Vilevile apunguze safari za nje kwenda kubadilisha damu kwa kodi za watanzania.

Aache (HAWEZI KUACHA) kuanguka hovyo (WEWE MBONA UNA KIFAFA UNAANGUKA UNAFIKIRI HATUJUI) majukwaani, mwambie apunguze ngono (KUMBE WEWE HUFANYI NGONO , JOGOO HAPANDI MTUNGI, POLEE) maana afya yake mgogoro (YA KWAKO NA KIFAFA CHAKO IKOJE?).
Vilevile apunguze safari za nje (HUNA HELA ZA KWENDA ACHA HUSDA NA HIYANA) kwenda kubadilisha damu (IMEKATAZWA KWANI ?) kwa kodi za watanzania (ANA HAKI YA KUZITUMIA KWANI NI RAIS WA TANZANIA AMESHINDA KWA USHINDI WA SUNAMI).
 

Utakuwaje ushindi wa Tsunami wakati ana ridhaa ya kutawala ya 12% ya waTanzania millioni 45!!
 
ushindi wa kuiba kura za slaa,ushindi wa kuingia madarakani kutafuna mali ya uamma

sasa aliyeibiwa kura ni slaa tu?mbona wengine hawalalamiki jamani!
acheni hizoooooo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…