Kumbe unaweza ukawa na uhakika wa kuzeeka bila kuhofia kifo

Kumbe unaweza ukawa na uhakika wa kuzeeka bila kuhofia kifo

Eiyer

JF-Expert Member
Joined
Apr 17, 2011
Posts
28,259
Reaction score
20,891
Nilikutana na mzee mmoja mwenyeji wa mkoa wa Mara akanieleza hii kitu,ndipo nikaamua kujaribu kuuliza na kukutana na kijana ambae alithibitishia kuwa jambo hilo lipo.

Jambo lenyewe ni kuwa, kuna dawa ya mitishamba ambayo ukichanjwa kisha ukapakwa hautakufa mapema. Hii maana yake ni kwamba ukishapakwa dawa hiyo,unakuwa na "machale" kabla ya kuikaribia ajali au jambo lolote la hatari,pia hautaugua maradhi au kama ukiugua haufi,hii ina maana kuwa kuna uwezekano mkubwa wa wewe kufikia uzee.Huko uzeeni utazeeka mpaka utakua ni wa kubeba.

Ikitokea ukapata maradhi uzeeni bado hutakufa, bali unaweza kuanza kuoza baadhi ya sehemu za mwili jambo litakalopelekea funza kutoka na chuma ulimo kuanza kutoa harufu kali.

Mtu aliefikia hatua hiyo kama ndugu wakihitaji afe basi hutakiwa kutoa bati au nyasi ili mwanga wa jua uingie ndani na kitendo hicho humfanya kikongwe huyo kufariki.

Jambo hili limeniacha mdomo wazi hasa nilipokutana na huyu kijana aliyethibitisha hili.

Je hapa JF kuna aliyewahi kusikia au kushuhudia hii kitu?Au kuna mwenye ujuzi wa hii kitu atujuze?
 
:shut-mouth:Hapa hatutaki MADA ZA KISHIRIKINA, KICHAWI,IMANI YA KUABUDU MIUNGO kama unaona dili katafute
Mungu akiamua kukuondoa duniani hata ufanye vipi utaondoka tu
Pole sana mdau na imani zako!

Nilikutana na mzee mmoja mwenyeji wa mkoa wa Mara akanieleza hii kitu,ndipo nikaamua kujaribu kuuliza na kukutana na kijana ambae alithibitishia kuwa jambo hilo lipo
'
Jambo lenyewe ni kuwa,kuna dawa ya mitishamba ambayo ukichanjwa kisha ukapakwa hautakufa mapema.
'
Hii maana yake ni kwamba ukishapakwa dawa hiyo,unakuwa na "machale" kabla ya kuikaribia ajali au jambo lolote la hatari,pia hautaugua maradhi au kama ukiugua haufi,hii ina maana kuwa kuna uwezekano mkubwa wa wewe kufikia uzee.Huko uzeeni utazeeka mpaka utakua ni wa kubeba
'
Ikitokea ukapata maradhi uzeeni bado hutakufa,bali unaweza kuanza kuoza baadhi ya sehemu za mwili jambo litakalopelekea funza kutoka na chuma ulimo kuanza kutoa harufu kali
'
Mtu aliefikia hatua hiyo kama ndugu wakihitaji afe basi hutakiwa kutoa bati au nyasi ili mwanga wa jua uingie ndani na kitendo hicho humfanya kikongwe huyo kufariki
'
Jambo hili limeniacha mdomo wazi hasa nilipokutana na huyu kijana aliyethibitisha hili
'
Je hapa JF kuna aliyewahi kusikia au kushuhudia hii kitu?Au kuna mwenye ujuzi wa hii kitu atujuze?
 
1. Kutokua na hofu ya kukutwa na umauti.
2. Kua mwaminifu kwa Mungu na kwako mwenyewe pia na kua mtu wa sala.
3. Kuwa na mda wa kutosha wa kupumzika, na kuwai kulala na uwai kuamka pia.
4. Kutokupenda kufanya mapenzi mara kwa mara.
5. Kutokua na mawazo yanayo weza kukupelekea kuwa na stress.
Na mengineyo mengi yanaweza kukufanya uwe na maisha marefu yenye furaha na afya njema. Izo njia nyingine ni kujaribu kujidhulu mwenyewe.
 
Haya mambo ni magumu kuaminika
lakini kuna Kijana Mkoa unaopakana
na Burundi aliwahi kuniambia mambo
kama hayo kuwa yapo na hata anapo
taka kufa lazima wanaojua alichofanyiwa
waje,ndiyo afe.


Ila ukweli ulio wazi KIFO kipo na hakikwepeki
maana si umeubwa sasa aliyekuleta ndiyo
atakaye kuondoa hapa.


Tudumu katika Imani ili tusiwaze haya ya
kuishi maisha marefu kwaajili ya kwenda
kwenye Ziwa liwakalo Moto bila Kuni.
 
hiyo dawa ipo hasa sehemu za umasaini
niliwahi kukutana nao miaka ile ya giza kabla sijamjua Mungu vizuri


wanasema inaitwa "MBINGU" na mtu ulikuwa unachagua kidonge kutokana na kuwa unataka uishi miaka mingapi
kama ni 50, 80, 100 hata na kuendelea. kweli namshukuru Mungu binafsi sikuimeza


lakini madhara yake ndo hayo hautakufa hadi ifikie ile miaka uliyoamua labda ufe kifo cha kulazimishwa kama ajali, risasi n.k matokeo ndo hayo hasa kwa wazee wa zamani unakuta wanazeeka hadi wanaozea hapo ndani.
 
Nilikutana na mzee mmoja mwenyeji wa mkoa wa Mara akanieleza hii kitu,ndipo nikaamua kujaribu kuuliza na kukutana na kijana ambae alithibitishia kuwa jambo hilo lipo
'
Jambo lenyewe ni kuwa,kuna dawa ya mitishamba ambayo ukichanjwa kisha ukapakwa hautakufa mapema.
'
Hii maana yake ni kwamba ukishapakwa dawa hiyo,unakuwa na "machale" kabla ya kuikaribia ajali au jambo lolote la hatari,pia hautaugua maradhi au kama ukiugua haufi,hii ina maana kuwa kuna uwezekano mkubwa wa wewe kufikia uzee.Huko uzeeni utazeeka mpaka utakua ni wa kubeba
'
Ikitokea ukapata maradhi uzeeni bado hutakufa,bali unaweza kuanza kuoza baadhi ya sehemu za mwili jambo litakalopelekea funza kutoka na chuma ulimo kuanza kutoa harufu kali
'
Mtu aliefikia hatua hiyo kama ndugu wakihitaji afe basi hutakiwa kutoa bati au nyasi ili mwanga wa jua uingie ndani na kitendo hicho humfanya kikongwe huyo kufariki
'
Jambo hili limeniacha mdomo wazi hasa nilipokutana na huyu kijana aliyethibitisha hili
'
Je hapa JF kuna aliyewahi kusikia au kushuhudia hii kitu?Au kuna mwenye ujuzi wa hii kitu atujuze?

Eiyer;
Unahofia kifo? Utakuwa unafanya kosa kubwa mno katika maisha yako. Hofia aina ya kifo na si kifo
 
Nimewahi kuisikia, madhara ni unaweza kuozea kitandani bila kufa meen. Bt sijui kama bado ipo, na ili ufe kuna dawa wale wanaojua watakufanyia. All in all KIFO NI LAZIMA AND U HV TO BELIEVE THAT! Iyo dawa ingekuwa inazuia uzee, kidogo ingekuwa poa
 
du ngoja wenye data za uhakika waje sasa mie napita tu......
 
Aliyeshuhudia ni "kijana"... Ameishi miaka mingapi kuona matokeo ya dawa hiyo kwake au kwa mtu aliyeshuhudia akiinywa!?! mindful hii ni chit-chat forum

Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom