Father of All
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 7,672
- 9,039
Jana, rais mteule Donald Chizz Trump, aliwateua vivyele vyake yaani mkwe wa mwanae wa mwisho Tiffany mwarabu aitwaye Boulos kuwa mshauri wake wa masuala ya mashariki ya kati na mkwe mwingine wa binti yake Bianca, aitwaye Charles Kushner kuwa balozi wa Marekani nchini Ufaransa.
Hapa Trump atatuponza nchi za kiswazi. Sitashangaa kusikia Abduli au Wanu wameteuliwa washauri wa maza hata mawaziri. Kweli demokrasia sasa ni domogasia kama siyo demockery. Kwa sasa akina M7 na maimla wenzake wanashangilia.
Theodoro Obiang Nguema wa Equatorial Guinea alilijua hili zamani hadi akamteua mwanae Theodorin Obiang Mangue kuwa makamu wa rais wakati mdogo wake mwingine Gabriel Obiang Mbega Lima waziri wa fedha na mipango. Akina Ridhiwan Kikwete sasa hawana wasiwasi na ulaji wao. Ama kweli wamejua kututenda.
Hapa Trump atatuponza nchi za kiswazi. Sitashangaa kusikia Abduli au Wanu wameteuliwa washauri wa maza hata mawaziri. Kweli demokrasia sasa ni domogasia kama siyo demockery. Kwa sasa akina M7 na maimla wenzake wanashangilia.
Theodoro Obiang Nguema wa Equatorial Guinea alilijua hili zamani hadi akamteua mwanae Theodorin Obiang Mangue kuwa makamu wa rais wakati mdogo wake mwingine Gabriel Obiang Mbega Lima waziri wa fedha na mipango. Akina Ridhiwan Kikwete sasa hawana wasiwasi na ulaji wao. Ama kweli wamejua kututenda.