Mindyou
JF-Expert Member
- Sep 2, 2024
- 1,869
- 4,877
Wakuu,
Kumbe CCM wana tawi hadi huko Uchina?
Leo nimeona tawi la UVCCM huko nchini China likimpongeza Rais Mwinyi kwa anayoyafanya huko Zanzibar katika utawala wake.
Soma pia: Shamira Mshangama Akabidhi Simu 9 na Kadi 1,000 za UVCCM Mkoa wa Tanga
Swali langu kwa nyie wanabodi, hivi vyama vingine navyo vina matawi katika nchi nyingine?
Na hayo matawi ya vyama nchi za nje yanasaidia nini?
Source: Zanzibar Mpya
Kumbe CCM wana tawi hadi huko Uchina?
Leo nimeona tawi la UVCCM huko nchini China likimpongeza Rais Mwinyi kwa anayoyafanya huko Zanzibar katika utawala wake.
Soma pia: Shamira Mshangama Akabidhi Simu 9 na Kadi 1,000 za UVCCM Mkoa wa Tanga
Swali langu kwa nyie wanabodi, hivi vyama vingine navyo vina matawi katika nchi nyingine?
Na hayo matawi ya vyama nchi za nje yanasaidia nini?