Kumbe Waarabu Wana utaratibu wa kumuaga Kiongozi aliyefariki kwa kuzungusha jeneza mji mzima kama hayati Magufuli, naona kwa Nasrallah wa Hezbollah!

Kumbe Waarabu Wana utaratibu wa kumuaga Kiongozi aliyefariki kwa kuzungusha jeneza mji mzima kama hayati Magufuli, naona kwa Nasrallah wa Hezbollah!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Wakati wa msiba wa Shujaa Magufuli baadhi ya Wapagani walishangazwa kitendo cha heshima za Mwisho Kwa jeneza kupitishwa barabara kuu

Kumbe hata Waarabu utaratibu wao ndio huo huo

Al Jazeera wameonyesha jeneza la aliyekuwa Kiongozi wa Hezbollah hayati Nasrallah likipitishwa Mitaa yote ya Beirut Lebanon Ili Wananchi watoe heshima za Mwisho

@malaria2
 
Wakati wa msiba wa Shujaa Magufuli baadhi ya Wapagani walishangazwa kitendo cha heshima za Mwisho Kwa jeneza kupitishwa barabara kuu

Kumbe hata Waarabu utaratibu wao ndio huo huo

Al Jazeera wameonyesha jeneza la aliyekuwa Kiongozi wa Hezbollah hayati Nasrallah likipitishwa Mitaa yote ya Beirut Lebanon Ili Wananchi watoe heshima za Mwisho

@malaria2
Warabu pia wanachimba mafuta , na hili pia iga
 
Wakati wa msiba wa Shujaa Magufuli baadhi ya Wapagani walishangazwa kitendo cha heshima za Mwisho Kwa jeneza kupitishwa barabara kuu

Kumbe hata Waarabu utaratibu wao ndio huo huo

Al Jazeera wameonyesha jeneza la aliyekuwa Kiongozi wa Hezbollah hayati Nasrallah likipitishwa Mitaa yote ya Beirut Lebanon Ili Wananchi watoe heshima za Mwisho

@malaria2
Wakati wa Nyerere ulikuwa bado mdogo siyo? We unajua ni Magufili tu alizungushwa.
 
Back
Top Bottom