Kumbe wabongo hawamtambui Rosa Lee!?

kama unamkubali nick minaj lazima umkubali huyu, na kama umewahi mkubali nikiminaj au li kimna huyu unamponda ana matusi we ni mnafki

Goma kali hili.....wenye haki ya kulalamika hii ngoma ina matusi ni wale ambao hawaskilizi hiphop ya marekani
Kwa kuwa ni explicit version Ngoja tusubiri Clean Version.
 
Commenti ya kufunga mjadala ni kuwa KAFELI.

Hamna kitu hapo
 
Huyu ni mkenya sio mbongo. Kwanza angekuwa bongo sijui wale basata wangekuwa wamesha mfungia muda mrefu
 
kama unamkubali nick minaj lazima umkubali huyu, na kama umewahi mkubali nikiminaj au li kimna huyu unamponda ana matusi we ni mnafki

Goma kali hili.....wenye haki ya kulalamika hii ngoma ina matusi ni wale ambao hawaskilizi hiphop ya marekani
Ni kweli na hapa wanalalamika matusi sababu wameelewa vizuri lugha ila zipo ngoma za marekani zinamatusi kinoma lkn wanazikulia beat tu lugha wanatoka chafu
 
Nimesoma Rosa Lee nikahisi unamuongelea Rosa Leona McCauley alias Rosa Lee Parks (Rosa Parks) yule mwanamama maarufu aliyeanzisha mapambano dhidi ya ubaguzi wa watu weusi nchini Marekani.

Huyu binti kama hayo majina anayotumia si ya kwake basi ana deni kubwa sana kwa huyu mama....utter disgrace!
 
Hovyoooooooooo,ngoja nijinywee chai yangu ya rangi mie
 
kama unamkubali nick minaj lazima umkubali huyu, na kama umewahi mkubali nikiminaj au li kimna huyu unamponda ana matusi we ni mnafki

Goma kali hili.....wenye haki ya kulalamika hii ngoma ina matusi ni wale ambao hawaskilizi hiphop ya marekani
So unajuaga tena hatuvikubali vya nyumbani, sema ingekua nick minaj ingekua poa tu.
 
Style yake ya nywele iko poa, nilimuona juzi EATV awards akiwapokelea tunzo Navy kenzo na kutoa shukran kwa sapot.
 
msanii wa @mamaafacebook ||
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…