Kumbe walipigwa 6 na Namungo?

Kumbe walipigwa 6 na Namungo?

Gordian Anduru

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2021
Posts
369
Reaction score
747
20210221_190620.jpg
 
tuanzie hapa kwanza kisha tuendelee

weka rank za caf kati ya namungo na yenu
 
- 1st de agosto watashinda goli nyingi dhidi ya simba sc. (Kabla ya mechi, alisikika shabiki wa utopolo.
-1st de agosto, ni timu mbovu, alisikika shabiki wa utopolo(baada ya simba sc kushida 3 kwa 1).
Utopolo kubalini kujifunza kwa Simba sc ili nanyi mfanye vizuri kimataifa.
 
Hawa ni kama kenge tu,hayawezi kuwa na akili
- 1st de agosto watashinda goli nyingi dhidi ya simba sc. (Kabla ya mechi, alisikika shabiki wa utopolo.
-1st de agosto, ni timu mbovu, alisikika shabiki wa utopolo(baada ya simba sc kushida 3 kwa 1).
Utopolo kubalini kujifunza kwa Simba sc ili nanyi mfanye vizuri kimataifa.
 
DALILI NYINGINE YA UCHAWI NI KUISHABIKIA YANGA[emoji881][emoji881][emoji881][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089]
 
Wamesahau kama namungo walicheza chamanzi mechi zote mbili na mechi ilikuwa na figisu nyingi mana wachezaji 9 wa 1 de agosto waliambiwa wana corona.
 
Katika rank za CAF, Namungo ipo juu kuliko Yanga
 
Back
Top Bottom