Kumbe Walugulu wa Morogopo ni Wahehe wa Iringa!

Kumbe Walugulu wa Morogopo ni Wahehe wa Iringa!

lukelo sakafu

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2015
Posts
2,938
Reaction score
517
Jamani kumbe Wahehe wa Iringa ndio hawa Walugulu wa pale Morogoro?! Yaani bila kuwepo Wahehe basi Walugulu wasingekuwepo daima.

Picha kamili ipo hivi;

Wakati wa Utawala wa Mjerumani pale Iringa, Wahehe wengi walikamatwa na Wajerumani na kuwa Watumwa. Hali hii ilipelekea Wahehe kukimbia kwa miguu kutoka Iringa mpaka Morogoro kwa miguu, na kwa kuwa miguu kwa Kihehe inaitwa Malugulu hivyo wakaitwa Walugulu yaani wakimbia kwa miguu au watu waliokimbia kwa miguu kwa Kiswahili, ila kwa kihehe ni Walugulu.

Na kiasilia Walugulu ni watu wenye uwezo wa kutembea umbali mrefu bila ya kuchoka.

WALUGULU NI WAKIMBIZI KUTOKA IRINGA.
 
Mkuu ukianza kuangalia sijui kabila fulani ni la majala fulani na lilianzua huko matokeo yake utajikuta hata wewe si wa hapa pengine ni Mcongo man wa Brazavile.

Kikubwa ni Umoja wetu.
 
Pia baadhi ya wanyakyusa ni wahehe. Kuna Mwakalinga wahehe na Mwakalinga wanyakyusa. Inasemekana kuna baadhi ya wahehe walikimbilia Tukuyu wakati wa mjerumani waka seto pande hizo.
 
wewe kabila gani na asili yako ni wapi?
 
Mkuu ukianza kuangalia sijui kabila fulani ni la majala fulani na lilianzua huko matokeo yake utajikuta hata wewe si wa hapa pengine ni Mcongo man wa Brazavile.

Kikubwa ni Umoja wetu.
mkuu mimi mmasai
 
Pia baadhi ya wanyakyusa ni wahehe. Kuna Mwakalinga wahehe na Mwakalinga wanyakyusa. Inasemekana kuna baadhi ya wahehe walikimbilia Tukuyu wakati wa mjerumani waka seto pande hizo.

kweli kabisa pia nasikia wazaramo pia ni wahehe
 
Pia Luguru au Waluguru inamaanisha 'watu wa milimani'.....Wazaramo ni Waluguru walioamua kuondoka miliamni na kuja maeneo ya pwani kama Pugu, Kisarawe, Dar es Salaam enzi hizo inaitwa Mzizima, Manerumango, Kisangire n.k
 
Una utani na wahehe ww lukelo sakafu, waluguru wengi ni viemolo wakati wahehe kidogo ni warefu na wanw miili mikubwa!
 
Last edited by a moderator:
Hata Wakw3re pia ni Wahehe

Hehe tribe nilitizama clip moja wazungu wanawazungumzia wahehe utacheka lazima ilikuwa ni BBC
 
 
Last edited by a moderator:
Jamani kumbe Wahehe wa Iringa ndio hawa Walugulu wa pale Morogoro?! Yaani bila kuwepo Wahehe basi Walugulu wasingekuwepo daima.

Picha kamili ipo hivi;

Wakati wa Utawala wa Mjerumani pale Iringa, Wahehe wengi walikamatwa na Wajerumani na kuwa Watumwa. Hali hii ilipelekea Wahehe kukimbia kwa miguu kutoka Iringa mpaka Morogoro kwa miguu, na kwa kuwa miguu kwa Kihehe inaitwa Malugulu hivyo wakaitwa Walugulu yaani wakimbia kwa miguu au watu waliokimbia kwa miguu kwa Kiswahili, ila kwa kihehe ni Walugulu.

Na kiasilia Walugulu ni watu wenye uwezo wa kutembea umbali mrefu bila ya kuchoka.

WALUGULU NI WAKIMBIZI KUTOKA IRINGA.

Kaka usichezee walugulu, wana vigimbi vya miguu hao....teh teh teh....utan raha
 
Pia baadhi ya wanyakyusa ni wahehe. Kuna Mwakalinga wahehe na Mwakalinga wanyakyusa. Inasemekana kuna baadhi ya wahehe walikimbilia Tukuyu wakati wa mjerumani waka seto pande hizo.
Kwa wahehe ni Kalinga kwa Wanyakyusa ni Mwakalinga.

Hivyo kinachofanyika kwa Wanyakyusa wanaongeze "mwa"Kwa udini ubini wowote ule.

Hata wewe ukienda utaitwa Mwaswat.
 
IMG-20150429-WA0014.jpg

So na huyu naye ni Mlugulu?
 
Back
Top Bottom