Hee ishu ni created kabisa. Hivi kwani mimi nawewe hatuwezi tukajifanya wema na wolper kwa kuedit majina kwenye phone books zetu and then tuna download pics zao google kisha tunazisevu kama prof pics zetu kwa whatsapp then tunatumiana text na ku capture screen na ku ypload facebook kutafuta ujiko? Is rubbish!