Nilipendezwa sana niliposikia kuwa hata ofisi ya Mh. Waziri Mkuu na Makamu wa Rais zilipendekeza Serikali Tatu. Hawa ni watumishi wa umma wanaostahili kupongezwa kwa kuuona ukweli wakiwa sawa na Ofisi ya Balaza la wawakilishi ambayo nayo niliwahi kusikia walipendekeza hivyo.
Hivi tujiulize leo tunapopata rais anayetoka Zanzibar kuwa wa Muungano na yule wa Zanzibar akawa Mzanzibari hatuoni hata hapo kuwa kunakuwa hakujakaa sawa.
Big up watanzania wote tunaounga mkono serikali tatu, si kwamba hatutaki muungano bali tunataka muungano ulioboreshwa. Na ili Muungano uwe bora kuna njia mbili Serikali moja au tatu sasa ni kupima kati ya miundo hiyo ni upi wengi wanautaka.
Hivi tujiulize leo tunapopata rais anayetoka Zanzibar kuwa wa Muungano na yule wa Zanzibar akawa Mzanzibari hatuoni hata hapo kuwa kunakuwa hakujakaa sawa.
Big up watanzania wote tunaounga mkono serikali tatu, si kwamba hatutaki muungano bali tunataka muungano ulioboreshwa. Na ili Muungano uwe bora kuna njia mbili Serikali moja au tatu sasa ni kupima kati ya miundo hiyo ni upi wengi wanautaka.