Kumbe watu bado wana imani za kwenda kwa waganga

Kumbe watu bado wana imani za kwenda kwa waganga

Dadakidoti

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2024
Posts
399
Reaction score
1,409
Bila shaka mko poa.

Nisiwachoshe niende moja kwa moja kwenye mada. Jana jioni wakati natoka kwenye kutafuta riziki ninaishi Mburahati karibu na hopitali ya Mianzini. kwa wenyeji kidogo maeneo hayo watanielewa.

Kuna makaburi ya wakisto mbele ya hospitali upande wa pili kuna makaburi ya waaslamu. pia kuna mkitini. sasa kuna njia panda pale.

Njia moja inaelekea hosptali, nyingine msikitini na njia nyingine inakatiza katikati ya makaburi tuseme ndo inayotenganisha makaburi ya waaslam na wakristo.

Sasa wakati nimekaribia kufika kwenye hiyo njia panda mbele yangu kutokea upande wa hospitali kuna gari aina ya harrie rangi nyeusi ikatokea upande mbele yangu sasa kwenye harakati za kuipisha si unajua njia za uswahilini mara gari likapaki. Mimi nikapita zangu natembea kama hatua kumi mbele nimeshalipita gari nasikia puu. na mbele yangu kulikuwa kuna mkaka anaelekea upande ninaotokea. Nikasikia anasema haa.

Nageuka nyuma sikuamini nilichokiona mkaka anavunja nazi. bonge la handsome kumbe watu bado wanavunja nazi njia panda?
 
Bila shaka mko poa.

Nisiwachoshe niende moja kwa moja kwenye mada. Jana jioni wakati natoka kwenye kutafuta riziki ninaishi Mburahati karibu na hopitali ya Mianzini. kwa wenyeji kidogo maeneo hayo watanielewa.

Kuna makaburi ya wakisto mbele ya hospitali upande wa pili kuna makaburi ya waaslamu. pia kuna mkitini. sasa kuna njia panda pale.

Njia moja inaelekea hosptali, nyingine msikitini na njia nyingine inakatiza katikati ya makaburi tuseme ndo inayotenganisha makaburi ya waaslam na wakristo.

Sasa wakati nimekaribia kufika kwenye hiyo njia panda mbele yangu kutokea upande wa hospitali kuna gari aina ya harrie rangi nyeusi ikatokea upande mbele yangu sasa kwenye harakati za kuipisha si unajua njia za uswahilini mara gari likapaki. Mimi nikapita zangu natembea kama hatua kumi mbele nimeshalipita gari nasikia puu. na mbele yangu kulikuwa kuna mkaka anaelekea upande ninaotokea. Nikasikia anasema haa.

Nageuka nyuma sikuamini nilichokiona mkaka anavunja nazi. bonge la handsome kumbe watu bado wanavunja nazi njia panda?
Bongo bila kuvunja nazi mambo hayaendi. Muulize Nikifa MkeWangu Asiolewe ana ushahid wa hilo
 
Bila shaka mko poa.

Nisiwachoshe niende moja kwa moja kwenye mada. Jana jioni wakati natoka kwenye kutafuta riziki ninaishi Mburahati karibu na hopitali ya Mianzini. kwa wenyeji kidogo maeneo hayo watanielewa.

Kuna makaburi ya wakisto mbele ya hospitali upande wa pili kuna makaburi ya waaslamu. pia kuna mkitini. sasa kuna njia panda pale.

Njia moja inaelekea hosptali, nyingine msikitini na njia nyingine inakatiza katikati ya makaburi tuseme ndo inayotenganisha makaburi ya waaslam na wakristo.

Sasa wakati nimekaribia kufika kwenye hiyo njia panda mbele yangu kutokea upande wa hospitali kuna gari aina ya harrie rangi nyeusi ikatokea upande mbele yangu sasa kwenye harakati za kuipisha si unajua njia za uswahilini mara gari likapaki. Mimi nikapita zangu natembea kama hatua kumi mbele nimeshalipita gari nasikia puu. na mbele yangu kulikuwa kuna mkaka anaelekea upande ninaotokea. Nikasikia anasema haa.

Nageuka nyuma sikuamini nilichokiona mkaka anavunja nazi. bonge la handsome kumbe watu bado wanavunja nazi njia panda?
Kaaa ivyo ivyo wenzio wanazid kutembelea matak***😂😂😂
 
Bila shaka mko poa.

Nisiwachoshe niende moja kwa moja kwenye mada. Jana jioni wakati natoka kwenye kutafuta riziki ninaishi Mburahati karibu na hopitali ya Mianzini. kwa wenyeji kidogo maeneo hayo watanielewa.

Kuna makaburi ya wakisto mbele ya hospitali upande wa pili kuna makaburi ya waaslamu. pia kuna mkitini. sasa kuna njia panda pale.

Njia moja inaelekea hosptali, nyingine msikitini na njia nyingine inakatiza katikati ya makaburi tuseme ndo inayotenganisha makaburi ya waaslam na wakristo.

Sasa wakati nimekaribia kufika kwenye hiyo njia panda mbele yangu kutokea upande wa hospitali kuna gari aina ya harrie rangi nyeusi ikatokea upande mbele yangu sasa kwenye harakati za kuipisha si unajua njia za uswahilini mara gari likapaki. Mimi nikapita zangu natembea kama hatua kumi mbele nimeshalipita gari nasikia puu. na mbele yangu kulikuwa kuna mkaka anaelekea upande ninaotokea. Nikasikia anasema haa.

Nageuka nyuma sikuamini nilichokiona mkaka anavunja nazi. bonge la handsome kumbe watu bado wanavunja nazi njia panda?
Yeah!....
 
Bila shaka mko poa.

Nisiwachoshe niende moja kwa moja kwenye mada. Jana jioni wakati natoka kwenye kutafuta riziki ninaishi Mburahati karibu na hopitali ya Mianzini. kwa wenyeji kidogo maeneo hayo watanielewa.

Kuna makaburi ya wakisto mbele ya hospitali upande wa pili kuna makaburi ya waaslamu. pia kuna mkitini. sasa kuna njia panda pale.

Njia moja inaelekea hosptali, nyingine msikitini na njia nyingine inakatiza katikati ya makaburi tuseme ndo inayotenganisha makaburi ya waaslam na wakristo.

Sasa wakati nimekaribia kufika kwenye hiyo njia panda mbele yangu kutokea upande wa hospitali kuna gari aina ya harrie rangi nyeusi ikatokea upande mbele yangu sasa kwenye harakati za kuipisha si unajua njia za uswahilini mara gari likapaki. Mimi nikapita zangu natembea kama hatua kumi mbele nimeshalipita gari nasikia puu. na mbele yangu kulikuwa kuna mkaka anaelekea upande ninaotokea. Nikasikia anasema haa.

Nageuka nyuma sikuamini nilichokiona mkaka anavunja nazi. bonge la handsome kumbe watu bado wanavunja nazi njia panda?
Uwa unawasiliana vipi na ulimwengu mdogo wangu? Acha kuwashangaa wenzio. Thats how they communicate with the universe na wanapata wanachotaka. Ulimwengu una kila kitu. Ulimwengu unamasikio. Niwewe tu na imani yako. Utausemesha, utakusikia na utakupa unachotaka. Ila usiwashangae wenzio. Mtu kashuka kwenye harrier kavunja nazi. We nazi huvunji ila hata pikipiki tu huna. Hushangai?!.. au na wewe ni wale wa kuamini kuna kiama na kuna kuchomwa moto siku ya kiama?😊
 
Uwa unawasiliana vipi na ulimwengu mdogo wangu? Acha kuwashangaa wenzio. Thats how they communicate with the universe na wanapata wanachotaka. Ulimwengu una kila kitu. Ulimwengu unamasikio. Niwewe tu na imani yako. Utausemesha, utakusikia na utakupa unachotaka. Ila usiwashangae wenzio. Mtu kashuka kwenye harrier kavunja nazi. We nazi huvunji ila hata pikipiki tu huna. Hushangai?!.. au na wewe ni wale wa kuamini kuna kiama na kuna kuchomwa moto siku ya kiama?😊
Umemaliza👏🏾👏🏾👏🏾
 
Back
Top Bottom