Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha, am sorry but this is very funnySiku moja nilikua kwenye dozi ya sindano za mishipa, nimechomwa zaidi ya Mara 10 sindano inaacha mishipa. Ikapidi wanihamishie kwenye tako,. Yaalaabi Mimi nilisikia yako ni kuuubwa hafu mguu umekua mfupi, kwa Mara ya kwanza nilikua ajili ya sindano. Tens nilikua kwa sauti kubwa zaidi ya dk 5. Jamani maumivi take hayaelezeki, usiombe sindano ya mishipa ichomwe kwenye tako!