Kumbe yaliyokuwa Maandalizi Kabambe ya Wiki nzima yalikuwa ni kuhakikisha leo tunatoka Sare na Wanaijeria?

Kumbe yaliyokuwa Maandalizi Kabambe ya Wiki nzima yalikuwa ni kuhakikisha leo tunatoka Sare na Wanaijeria?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Kumbe nia yenu Kuu na Juhudi zote mlizofanya Wiki nzima kabla ya kukutana na Rivers United FC leo ni kutaka tu Mashabiki wenu AKILI HAMNAZO waujaze tu Uwanja wa Mkapa ili mpige Pesa lakini siyo Kuiandaa Timu ili leo isitie Aibu kwa kutoka Suluhu ( bila Kufungana ) wakati mnaichezea Nyumbani na siyo Ugenini.

Hovyoooooooo.....!!!!!!!
 
Back
Top Bottom