Uwanja wa Zamani ulikuwa Una jukwaa maarufu Sana la Wana Yanga linaitwa jukwaa la kijani ..
Yanga waliingia wakawa kimya Sana ..ilifanyika kampeni kubwa ya uzalendo....sasa kuna mchezaji wa Stella anaitwa Boli Zozo...huyu hakuwepo mechi ya kwanza hata kwenye bench...alikuwa hatari Sana akafunga bao moja...Yanga wako kimyaa...mara jamaa akafunga la pili...ndo Yanga wakalipuka "uzalendo umetushinda"....ndo chanzo cha huo msemo...wakaanza kushangilia Hadi mwisho....ndo ikawa chanzo cha timu za nje kushangiliwa zikija......