Silas Haki JF-Expert Member Joined Oct 18, 2010 Posts 368 Reaction score 39 Mar 5, 2011 #21 Matola said: Hapo kwenye RED huo ni ushamba, kwani pm private meseji kazi yake ni nini? na vile vile ipo chat room, sasa what is the meaning of this? tuache utoto Click to expand... Huu ni ushamba wa kutumia majukwaa kama haya.
Matola said: Hapo kwenye RED huo ni ushamba, kwani pm private meseji kazi yake ni nini? na vile vile ipo chat room, sasa what is the meaning of this? tuache utoto Click to expand... Huu ni ushamba wa kutumia majukwaa kama haya.
Silas Haki JF-Expert Member Joined Oct 18, 2010 Posts 368 Reaction score 39 Mar 5, 2011 #22 Hili siyo jambo geni kwa Wana-CCM, wamediriki kuweka ma-CEO wao hadi kwenye magazeti ya serikali ili wapate kuandika habari za kufurahisha mafisadi.
Hili siyo jambo geni kwa Wana-CCM, wamediriki kuweka ma-CEO wao hadi kwenye magazeti ya serikali ili wapate kuandika habari za kufurahisha mafisadi.