Kumbuka; Viumbe hatari hupenda kujificha


Nashukuru Sana Mkuu.
Nafarijika kusikia haya.
Barikiwa zaidi Mkuu
 
Watu hatari hawajifichi wanakifivha ni wasumbufu tu elewa hili

Sawa Mkuu. Wala tusibishane kuhusu hili.

Ila siku ukianza kuwa mtu hatari na mbaya utaelewa falsafa ya watu Hatari.

Au Anza hata kuchepuka Kwa Mkeo utaelewa ni kwanini watu hatari na Wabaya hujificha.
Au Mkeo akianza kuwa mtu hatari Dalili ya Kwanza ni kutaka kuficha au kujificha
 
Fact mkuu
 
vp wale wa sehem za kuungama,anakuona ila wewe haumuon,je! nawao ni hatar
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…