#COVID19 Kumbukeni kunawa mikono na kuvaa barakoa,chanjo inachochea maambukizi haizuii watanzania

#COVID19 Kumbukeni kunawa mikono na kuvaa barakoa,chanjo inachochea maambukizi haizuii watanzania

MakinikiA

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2017
Posts
5,104
Reaction score
6,827
Ndugu zanguni hali Sasa watu wamejiziuka sana eti chanjo,waliochanja ndio wanaombukiza sana na wengi wanaugua mafua ya hapa na pale lakini kwa kuwa Kinga ya miili yetu ni zaidi kuliko wale jamaa wanaohamasisha chanjo hivyo mjitahidi zile mbinu za kuepuka kuambukizwa kunawa kwa sabuni, sanitizers,barakoa ukiona mtu anapiga chafya sogea mbali kabisa
Tumtegemee Mungu daima
 
Ndugu zanguni hali Sasa watu wamejiziuka sana eti chanjo,waliochanja ndio wanaombukiza sana na wengi wanaugua mafua ya hapa na pale lakini kwa kuwa Kinga ya miili yetu ni zaidi kuliko wale jamaa wanaohamasisha chanjo hivyo mjitahidi zile mbinu za kuepuka kuambukizwa kunawa kwa sabuni, sanitizers,barakoa ukiona mtu anapiga chafya sogea mbali kabisa
Tumtegemee Mungu daima
Cc @maxmello jamaa anasambaza uzushi huyu
 
Ndugu zanguni hali Sasa watu wamejiziuka sana eti chanjo,waliochanja ndio wanaombukiza sana na wengi wanaugua mafua ya hapa na pale lakini kwa kuwa Kinga ya miili yetu ni zaidi kuliko wale jamaa wanaohamasisha chanjo hivyo mjitahidi zile mbinu za kuepuka kuambukizwa kunawa kwa sabuni, sanitizers,barakoa ukiona mtu anapiga chafya sogea mbali kabisa
Tumtegemee Mungu daima
Hivi kilaza kama huyu tunamsaidi aje??
 
Kuna wengine hatujachanja,barakoa hatuvai,sanitizer hatupaki yaani tupo tupo tu!!!
 
Kilaza wewe nonsense, eleza Kwanza umuhimu wa chanjo China wanajiandaa na lockdown tena zuzu wewe
Wapumbabu na vilaza kama wewe ni wakupiga risasi za kichwa nyie na vizazi vyemu vyote yaani m -extinct kabisa, hamna faida yoyote hapa duniani ……,
Sometimes ni bora kuficha upumbavu wako!
 
Wapumbabu na vilaza kama wewe ni wakupiga risasi za kichwa nyie na vizazi vyemu vyote yaani m -extinct kabisa, hamna faida yoyote hapa duniani ……,,,
Utaazwa wewe
 
Mods waufute huu uzi wa upotoshaji: No research no right to speak
Kwanza tumnyooshe huyu kilaza ili siku nyingine asirudie kuleta craps kama hii humu jamvini! hii ni forum ya ma- great thinkers na siyo ya vilaza kama huyu mpumbavu!
 
Kwanza tumnyooshe huyu kilaza ili siku nyingine asirudie kuleta craps kama hii humu jamvini! hii ni forum ya ma- great thinkers na siyo ya vilaza kama huyu mpumbavu!
wewe ndio great thinker au lijitu tu
 
Back
Top Bottom