Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 16,003
Mguu wa kuku!Hicho nini kama mbao kwenye suruali ya Mbowe?
Hata aliyepostElitwege akiiona hii picha ya Mbowe mkojo unambana ghafla! Sijui ni kwa nini!!
Watu huanzia kwenye u shamba boi mpaka uraisHivi ni kweli profession ya Mbowe ni kupigisha muziki ( u-DJ)?
simu ya mkononi...Hicho nini kama mbao kwenye suruali ya Mbowe?
Alikuwa kijakaziWakati huo Wakudadavua alikua anakamua maziwa ya ng’ombe kwao, mjini hajafika.
Simu ,mbowe tayari alikua nayo, akati wewe umeaza kua na simu 2003Hicho nini kama mbao kwenye suruali ya Mbowe?
Unavozumgumzia MBOWE dhahiri na ajira TzMbowe amewaandaa watu wengi sana ukiwemo wewe mleta mada!
Kweli tujiulizage pamoja na udj wake ,kikwete na vipngozi wote hukaa chini ,ninavokuja swala lamboweHivi ni kweli profession ya Mbowe ni kupigisha muziki ( u-DJ)?
Huyo Elitwege na Wakudadavuwa walikuwa ni "majamvi" ya Bw. Mbowe,na wakatelekezwa wakiwa wameshibishwa tayari. Hasira ya kushibishwa na kuachwa ndio wanamalizia humu JF.Elitwege akiiona hii picha ya Mbowe mkojo unambana ghafla! Sijui ni kwa nini!!
Aisee! Kwahiyo huyu mwamba alianzia huko!