[emoji2][emoji2][emoji2]da!uko sawa mkuu, hata hivyo huo mwaka ndo nilmaliza elimu ya msingiUnaposema "ile misimu ya kizamani" hata hiyo yako itakuja kuwa ya kizamani na vijana wa huo wakati ujao watakua wanashangaa uliwezaje kuwa na "lisimu la kizamani" hivyo.
Hata "bibi alikua binti"
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbowe mwana hanaga mambo mengi!Sema bwashee kimoyonimoyoni unamkubali sana Mbowe....😀😀
Hata hiyo simu yako itakuja kuwashangaza vijana wa baadaye. Hata hizo nguo ulizovaa, zitakuja kuwa kituko huko mbeleni. Kila kitu na wakati wake.Duh, mzigo wote huo...aisee
Kwa enzi zileee ukiwa na msimu km huo unaonekana mjaaanjaaa townDuh, mzigo wote huo...aisee
Mzee inaonekana km vile wewe uko juu ya 50 yrsHata hiyo simu yako itakuja kuwashangaza vijana wa baadaye. Hata hizo nguo ulizovaa, zitakuja kuwa kituko huko mbeleni. Kila kitu na wakati wake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Simu za wakati huoHicho nini kama mbao kwenye suruali ya Mbowe?
1999 simu za mkononi zilikua zinamilikiwa na watu waliokua na pesa tu. Hata mawaziri wenye nazo walikua ni wa kuhesabu tu.[emoji2][emoji2][emoji2]da!uko sawa mkuu, hata hivyo huo mwaka ndo nilmaliza elimu ya msingi
Kwahiyo mpka nilivyokuja kumiliki simu hayo matoleo yalishapita
Kweli kila zama na kitabu chake.Kwa enzi zileee ukiwa na msimu km huo unaonekana mjaaanjaaa town
😀Mbowe mwana hanaga mambo mengi!
Yeye alikuwa mmiliki wa Billicanas!Alipanda cheo kutoka DJ mpaka Meneja wa bar kumbe au !!!!😅
Ss si ndio meneja wa bar unataka kunambia nn au?Yeye alikuwa mmiliki wa Billicanas!
Billicanas haikuwa bar.Ss si ndio meneja wa bar unataka kunambia nn au?
Meneja ndio mmiliki?Ss si ndio meneja wa bar unataka kunambia nn au?
Hawa vijana waliozaliwa miaka ya 90 na 2000 wamekosa mambo mazuri sana! Enzi hizo ukimiliki simu aina ya motorolla, nokia au siemens ulikuwa unaonekana ndiyo una pesa.Billicanas haikuwa bar.
Tatizo lako umechelewa kuja mjini mambo mengi yamekupita ikiwemo mango garden!
Hebu nikumbushe mango garden na kwa macheni wapi palikuwa patamuBillicanas haikuwa bar.
Tatizo lako umechelewa kuja mjini mambo mengi yamekupita ikiwemo mango garden!
Mango ilikuwa habari ya mjini bwashee!Hebu nikumbushe mango garden na kwa macheni wapi palikuwa patamu
Enzi zileee sisi Bado vijana[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]nao tumeshakuwa vibabu tunalea wajukuuMango ilikuwa habari ya mjini bwashee!