Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 16,003
- Thread starter
-
- #61
Wakati huo Wakudadavua alikua anakamua maziwa ya ng’ombe kwao, mjini hajafika.
Ilikuwa ni simu ya Mobitel. Kampuni ya simu wakati huo ni Mobitel an Tritel tu.Hicho nini kama mbao kwenye suruali ya Mbowe?
Bila shaka ni Motorolla ya kukunjua. Hiyo ndio ilikuwa ya gharama ya juu sana na zilikuwa ni Tritel.Mbona km Ni ile misimu ya kizamani
Tatizo itakua mwekezaji namba moja (serikali ya Tz)..huyu auze hisa zote ,mchangowake itakua hafifuHivi airtel wana shida gani aisee.... nilinunua line yao ila nikaitipa...yaani kupiga simu tu ni ishu, simu hazitoki. Wanaotumia huo mtandao wana moyo wa uvumilivu sana.
Kweli aisee dunia iko kisanii sanii tu. Fulahia Matatizo naye anatarajiwa akitoke poni industry kwa mkuu wetu.wako vzr mbona kidoa anafanya safi tuMbowe amewaandaa watu wengi sana ukiwemo wewe mleta mada!
Ss si ndio meneja wa bar unataka kunambia nn au?