Pre GE2025 Kumbukizi: Lusinde alivyosimulia Nape alivyochakachua kura ili Mkwe wake ashinde

Pre GE2025 Kumbukizi: Lusinde alivyosimulia Nape alivyochakachua kura ili Mkwe wake ashinde

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Nyendo

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2017
Posts
1,336
Reaction score
4,731

Nilianza kupata mashaka urafiki wa Nape na Kinana siku ya uchaguzi wa wa wabunge wa Afrika Mashariki kwenye bunge lililoisha, uchaguzi ule tuliufanyia Karimujee, Nape akiwa Mwenezi na Kinana akiwa Katibu Mkuu.

Katika Kura kulikuwa na mchuano mkubwa sana kwa upande wa Akina mama, chaguzi tumepiga kura tlivyomaliza Nape akaingia kwenye chumba cha kuhesabia kura, na kwa Bahati mbaya kulikuwa na mgombea mkwewe Nape anaitwa Mama Mkami.

Nape akawa anahesabu kura kila akishika anataja namba ya Mkwewe, matokeo yanatoka mkwewe wa kwanza, wagombea wakalalamika, Kinana akatuita akatuambia turidie kuhesabu kuona kama kuna ubadhilifu, wakatuita sisi turudie kuhesabu kura, baaada ya kurudia Mama Mkami mkwewe Nape hakuwa hata kwenye 20 bora.


Pia soma:
 

Nilianza kupata mashaka urafiki wa Nape na Kinana siku ya uchaguzi wa wa wabunge wa Afrika Mashariki kwenye bunge lililoisha, uchaguzi ule tuliufanyia Karimujee, Nape akiwa Mwenezi na Kinana akiwa Katibu Mkuu.
Hadi leo Nape ni Waziri na Kinana ni Makamu Mwenyekiti wa CCM, tunaposema CCM ni genge la kigaidi linalotumia mabavu ya vyombo vya dola kuendelea kutawala kidhalimu siyo uwongo.
 

Nilianza kupata mashaka urafiki wa Nape na Kinana siku ya uchaguzi wa wa wabunge wa Afrika Mashariki kwenye bunge lililoisha, uchaguzi ule tuliufanyia Karimujee, Nape akiwa Mwenezi na Kinana akiwa Katibu Mkuu.

Katika Kura kulikuwa na mchuano mkubwa sana kwa upande wa Akina mama, chaguzi tumepiga kura tlivyomaliza Nape akaingia kwenye chumba cha kuhesabia kura, na kwa Bahati mbaya kulikuwa na mgombea mkwewe Nape anaitwa Mama Mkami.

Nape akawa anahesabu kura kila akishika anataja namba ya Mkwewe, matokeo yanatoka mkwewe wa kwanza, wagombea wakalalamika, Kinana akatuita akatuambia turidie kuhesabu kuona kama kuna ubadhilifu, wakatuita sisi turudie kuhesabu kura, baaada ya kurudia Mama Mkami mkwewe Nape hakuwa hata kwenye 20 bora.


Pia soma:
Nimeisha sema, alichosema Nape, sio utani, sio joke, ndio ukweli wenyewe wa kinachofanyika. Huu ni ushahidi!.
P
 
Halafu kwa ushahidi kama huu, nipoteze kabisa muda wangu kwenda kupiga kura!! Labda itokee kukawepo na tume huru ya uchaguzi, na isiyo na mashaka.
Na huko mbele ya safari kama itakuja tokea vurugu na umwagaji wa damu wa kulaumiwa ni viongozi wa sasa wa CCM, kuna wakati watu wataamuakuwa liwalo na liwe lazima mabadiliko yafanyike sasa hawa wanaokataa mabadiliko kwa njia za amani na ustaarab yaani sanduku la kura damu zitakazomwagika zitakuwa juu yao na vizazi vyao.
 
Halafu kwa ushahidi kama huu, nipoteze kabisa muda wangu kwenda kupiga kura!! Labda itokee kukawepo na tume huru ya uchaguzi, na isiyo na mashaka.
kususia kupiga kura ndicho kitu haswaa CCM wanaomba kitokee. Hii itawarahisishia kuiba. Dawa ni aidha watu wajitokeze kwa wingi na walinde kura na ikitokea ikawepo dalili ya kuiba, basi wakinukishe nchi nzima. Vinginevyo wananchi watoke kudai katiba. Option na kususia kupiga kura ni kama kuipitisha CCM.
 
Back
Top Bottom