Kumbukizi: Makamanda wa CHADEMA wakipigwa Tanganyika jeki baada ya kuleta ujeuri

Hii ndio ilimtafutia laana jamaa ako, sasa saivI had Mwigulu anamsema..

Hapa hata umsifie kwa kitu kidogo utalamba matusi had ukome.

Among the black history ya Mwamba hii ilimchafua mno.
 
Hata Nelson Mandela alianzia huko Leo hii Africa kusini inaheshimika na watu wake ndiko tunakoelekea watanzania
Usimlinganishe Mandela na hawa mampopoma

USSR
 
Hahahah!
GOD IS GOOD, MUNGU NI MUNGU WA HAKI.

Dead for good
Kweli MUNGU yupo
 
Hivi huyo askari sahv yuko wapi
Unajuwa alipo [emoji1]
Mwenzako sugu anapeta tu na maisha yake
Sasa we muulize hyo askari sahv yuko wpi na Ana hali gani

Ova
Mkuu tusaidie Kwa sasa Mr. Afande yupo wap Kwa Sasa.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…