Kumbukizi ya Mbowe: Msifunge ndoa na chama hiki. Tokeni CHADEMA na tafuteni kweli na haki kwenye chama kingine

Kumbukizi ya Mbowe: Msifunge ndoa na chama hiki. Tokeni CHADEMA na tafuteni kweli na haki kwenye chama kingine

figganigga

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
25,724
Reaction score
55,906
Freeman Mbowe: "Msifunge ndoa na chama hiki. Tokeni CHADEMA na tafuteni kweli na haki kwenye chama kingine. Nazungumza maneno haya kwasababu ni uendawazimu kufunga ndoa na chama cha siasa." Mwisho wa Kimnukuu

Aliyasema hayo wakati wa ziara yake Washington DMV Nchini Marekani Mwaka 2012.


 
Umeelewa vizuri maudhui yaliyoko kwenye hiyo clip au umekilimbilia kupost bila tafakari ya kina
 
Back
Top Bottom