Kumbukizi; Zitto Kabwe: 2009 nilipogombea Uenyekiti taita CHADEMA, hapo ndiyo ilikuwa mwisho wa amani yangu ndani ya chama

Kumbukizi; Zitto Kabwe: 2009 nilipogombea Uenyekiti taita CHADEMA, hapo ndiyo ilikuwa mwisho wa amani yangu ndani ya chama

Joined
Nov 19, 2024
Posts
94
Reaction score
307
Mwaka 2009 nisameka, kwani kuna dhambi mtu wa Kigoma kuwa Mwenyekiti wa Chama taifa, kuna dhambi? Nikagombea, hapo ndiyo ilikuwa mwisho wa amani yangu ndani ya chama. Toka mwaka 2009 sina amani katika chama. Sababu haiwezekani kila siku kwenye chama, kundi moja wala halikosei, kundi jingine ndilo linakosea, haiwezekani


 
Back
Top Bottom