Aisee bora vile bia ya Bingwa iliondolewa sokoni,
Yaani ukiipiga kizembe jua imekula kwako.
Wakati huo mzee mmoja alizipiga mbili akashindwa kutembea, kutokana na mvua kunyesha na yeye amelala barabarani kwa kushindwa kutembea, maji yaliingia puani na ndo ukawa mwisho wa uhai wake.