KUMBUKUMBU: Miaka kadhaa iliyopita alizaliwa Katibu Mkuu wa CHADEMA Dk. Vicent Mashinji

Bavicha nawakumbusha kuwa Mashinji ni chaguo la Lowassa, Mbowe alikuwa anamtaka Salum Mwalimu!
 
Namfananisha Katibu mkuu Mashinji na aliyewahi kuwa katibu mkuu wa ccm Wilson Mkama. Ccm walijiwahi wakamchomoa mkama, chadema bila shaka wanasubiri democrasia ifuate mkondo wake
 
Namfananisha Katibu mkuu Mashinji na aliyewahi kuwa katibu mkuu wa ccm Wilson Mkama. Ccm walijiwahi wakamchomoa mkama, chadema bila shaka wanasubiri democrasia ifuate mkondo wake


Mashinji ni Daktari wa Vichaa alipaswa awe anatibu Makarai maana vyuma vimekaza mpaka Mbwa wanang'ata mabos wao kwa kuwa madishi yameyumba sio kwa Binadamu tu Bali hata kwa wanyama
 
Mashinji ni Daktari wa Vichaa alipaswa awe anatibu Makarai maana vyuma vimekaza mpaka Mbwa wanang'ata mabos wao kwa kuwa madishi yameyumba sio kwa Binadamu tu Bali hata kwa wanyama
Comments za namna hii kwa age yako ni aibu kubwa sana, uwazalo liwe utasubiri sana hadi mauti yatakufika bado halijawa
 
katibu hewa huyu
hana mvuto
yani hasara tupu
anatuulia chama chetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…