Mkuu, acha kabisa kusikia. Siku moja utakapokutana naye ndiyo utajua. Cheo sikukiomba bali nilipewa tu na Mzee kwa utashi wake. Mimi ni jasiri, nilisonga mbele.Sasa,mbona inaonekana wewe ulikuwa muoga kuliko wenzio.Yaani pamoja na kutiwa moyo na yule Mzee bado wewe hukupata ujasiri?.Unahisi kile cheo ulichopewa cha kuwa mkuu wa msafara ulistahili?
Aisee hapo shindwa kabisa.Nikikutana naye nakufa, kalba sijajua kusudio lake.Unahisi morali ile bado unayo,au ushakuwa kama mbwa kokoMkuu, acha kabisa kusikia. Siku moja utakapokutana naye ndiyo utajua. Cheo sikukiomba bali nilipewa tu na Mzee kwa utashi wake. Mimi ni jasiri, nilisonga mbele.
Ingelikuwa ni muoga, ningelikuwa na uwezo wa kuwarudisha wenzangu mpaka wakati mwingine.
Duuh! Mkuu hiyo ni kweli, inahitaji ujasiri sana Kumfata Simba llive.Aisee hapo shindwa kabisa.Nikikutana naye nakufa, kalba sijajua kusudio lake.Unahisi morali ile bado unayo,au ushakuwa kama mbwa koko
Hongera mkuuTayari Mkuu na nimeshaimaliza kabisa.
Hahaha, ahsante sana Mkuu.hongera mkuu, story yako iandalie hati milki kuna waandishi makanjanja wataiiba wadai wao ndio walikuwa wa kwanza kurusha mkuki.