Hongera sana shujaa, maana Dar bhana inatuharibia wanaume wengiMimi ni mwanaume wa Mikoani. Dar pia sikosekani Mkuu.
wa2 wanapiga hela wakati wewe umeamua kutupa bureHahaha, ahsante sana Mkuu.
Hawawezi kuchukua. Hata wakichukua story, the reality will still last in me..
Juu kabisa kwenye kichwa cha habari cha thread kuna kaalama ka tiki... Kaguse hako, utakua umeisevu thread nzimaMimi Nina shida moja humu JF,hadithi kama hii nikija kuitafuta baadae siikuti,sijaelewa jinsi ya kutafuta thread za nyuma
Hofu tupu Mkuu. Inaogopesha sana. Acha tu Mkuu. Yakheri ufumaniwe kuliko kumfata Simba live live ukiwa na nia ya Kumuua. Yale macho yake yakikuangalia unaweza kudondoka kwa hofu.Finally! Yaani kama nakuona Compact na ngao yako na mkuki pembeni umesimama na balance fulani tayari kwa mashambulizi... Na kijasho chembambaaaa kinatiririka kichwani [emoji23][emoji23][emoji23]
Hongera sana mkuu
Ubarikiwe ndugu,kwa kunipa elimuJuu kabisa kwenye kichwa cha habari cha thread kuna kaalama ka tiki... Kaguse hako, utakua umeisevu thread nzima
Hahahahahahahq!.Internal observer pia nilikuwepo katika kusoma hii.
Hongera,morani wanaongoza kwa kuwa na ujasiri. At least umegundua kwamba mwenzio alifanya kitu kikubwa. wengine wangeanza kujisifu wao moja kwa moja.
That's team work by the way..
Tusiache kumshukuru Mungu kila siku maishani mwetu.
Hongera international observer.
nilisikiaga kwamba ukikutana nae usikimbie una tulia kama hujamuona ni kwelAhsante sana Mkuu. Kumuangalia machoni kunatisha haswa. Tena ukijua kwamba naye anapanga kukudhuru.
Saint Ivuga buana alibeba mtoto mzuriHahahahahahahq!.
Hivi Internal Observer, who won the battle? Mimi walinifukuza nchini kwenu baada ya kutoa views zenye mlengo wa kumponda mgombea mmoja.
Thank you so much. Natambua sana kazi aliyofanya mwenzangu.
kumbe wewe ni masai? nitakutafuta mkuuNaam Mkuu, nilisema nitaandika na nimefanya hivyo.