Kumbukumbu ya Mfungo wa Ramadhani 3: Futari ya Ally Sykes na Sinia la Kunde za Bibi Titi

Hizo mada kama ingekuwa ni nchi zenye kujali basi zingetengenezea muvi.
 
Tanga...
Sijui nini tatizo.
Unasema kuna kitu sikioni (missing a point)

Unasema mambo yakishatokea hayarejei tena.
Hakika.

Unasema ninakazana kuyabadili.
Mambo gani nataka kuyabadili?

Lakini sijui unakusudia nini nitapenda unifahamishe.
Unasema ninaishi dunia ya ''fantansy'' niliyojitengenezea mwenyewe.

Dunia yangu na maisha yangu nayajua na nitakushangaza yako ''documented'' ndani ya diaries na photographs.

Naweza nikakuonyesha.
Unasema unanihurumia na kunisikitikia.

Kwa kweli unanishangaza.
Sijapata kuhisi kuwa mimi ni mtu wa kuhurumiwa wala kusikitikiwa.

Allah namshukuru kanipendelea.


1953

1969

1974

London 1992

Baadhi ya Shajara (Diary) zangu zenye historia ya maisha yangu
Angalia hiyo ya kushoto (1989) chini nimeandika Aya ya Qur'an
Tangawizi,
Kuna neno umesema, ''Fantansy.''

Baada ya picha hiyo niko London 1991 maisha yangu ghafla yakabadilika na ikaingia ''fantancy'' lakini si kwa maana yako wewe.

Mambo yalianza miaka mitatu nyuma 1988.
Fursa ikipatikana In Shaa Allah nitakuwekea picha.
 
Nimesoma uandishi wako kama namsoma wao ni wao natamani afunguliwe account yake sijui yuko wapi msalimie
 
Sawa Babu.
Ukiwa Babu wacha tu uitwe hivyo na yeyote

Hivi asingekuja Mwarabu na kuleta Uislamu. Wewe Ungekuwa katika Hali gani ?
Ungejikataa nafsi yako ?
Che...
Hapana mila na adabu zinanikataza.
Nikikuruhusu wewe kuniita mimi babu nitaingia katika matatizo.

Utakuwa mjukuu wangu badala ya kuwa mtoto wangu.
Mimi kwako wewe mwenzangu ni baba na mama yako.

Hawa lazima tuheshimiane.
Nami nikupe wewe heshima ya utoto kwangu.

Wanao kwa kuwa mimi ni babu yao wana haki ya kunitania na wanaweza kuingia chumbani kwangu na hata kulala kitandani kwangu.

Kwenu hamna mila hizi na ''etiquettes'' za aina hii?
Nakusihi usiniite babu ukifanya hivyo utakuwa unanikejeli.

Kwangu hili siwezi kulikubali na inaweza ikawa mwisho wa mimi na wewe kujadiliana.

Tatizo hili tulilimaliza mimi hapa kuitwa ''Sheikh,'' ''Mufti,'' ''Ustadh,'' nk.
Nikawaeleza waliokuwa wakifanya hivyo kwa maandishi na picha kuwa mimi sina sifa hizo na kuendelea kuniita hivyo ni kuwavunjia heshima viongozi wa dini yangu.

Mfano mimi nikuite wewe Kadinali Pengo au Rugambwa.
Si adabu.
 
Ha, ha, ha.
Mbona Babu ni jina zuri sana, mimi mwenyewe naitwa Babu.
Babu ni Heshima kama mtu anavyoitwa Mzee.

Ila kama hulitaki basi naheshimu mawazo yako.
Ikikupendeza niite mimi Babu.
Mimi pia nina wajukuu na naitwa
Babu hata na watu wa Umri wangu.

Pengo na Lugambwa ni majina ya watu na sio hadhi
Babu ni hadhi ya kuishi kwingi kuona mengi.
 
Che...
Mimi na wewe ni watu tofauti.
Nakusihi tuheshimiane.
 
Mimi sioni tatizo unatoa kumbukumbu na ni mwezi wenu mtukufu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…