Kumbukumbu za Rais Mstaafu, Ali Hassan Mwinyi

Kumbukumbu za Rais Mstaafu, Ali Hassan Mwinyi

Mohamed Said

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2008
Posts
21,967
Reaction score
32,074
Hapo chini kuna "Memories" post niliyoandika baada ya kutoka kumbukumbu za Rais Ali Hassan Mwinyi.

Ukiwa umesoma kitabu cha Mzee Mwinyi na ukawa umesoma kitabu cha Abdul Sykes (1998) utaona kuna mambo muhimu na mazito yamepishana kwa kiasi kikubwa.

Nilipata kumpa kitabu hicho Mzee Mwinyi nikiwa na nia akisome na ajue mchango wa Waislam katika kupambana na wakoloni kuanzia enzi za Vita Vya Maji Maji 1905.

Niliamini kitabu changu kitamsaidia kutambua kwa haraka ile, "Kwa nini leo yamekuwa haya."

Picha yangu hiyo hapo chini nikimkabidhi Rais Mstaafu Mzee Ali Hassan Mwinyi kitabu cha Abdul Sykes.

May be an image of 4 people and people standing
 
Hv mbona unalilia huo mchango wa Waislamu kama vile wakristu walishawahi jitangaza wao ndio wamepigania uhuru. Kipindi watu wanadai uhuru hawakudai kama Waislamu bali Waafrika weusi.

Mzee wangu kushikilia dini kama kigeuza cha uafrika ni upotovu hizo dini zote zimetuchukua utumwani
 
Hv mbona unalilia huo mchango wa Waislamu kama vile wakristu walishawahi jitangaza wao ndio wamepigania uhuru. Kipindi watu wanadai uhuru hawakudai kama Waislamu bali Waafrika weusi.
Mzee wangu kushikilia dini kama kigeuza cha uafrika ni upotovu hizo dini zote zimetuchukua utumwani
Mimi mkuu nimemuelewa in another angle, mtoa hoja labda anaona historia ya ukombozi wa nchi yetu inaongelea zaidi watu wa aina moja ya dini na sio wa pande zote, na ni kweli ukombozi wa nchi hawakuangalia dini au Imani zao kipindi cha mapambano, naona ni vema tukamjibu mtoa hoja hii kwa facts ili naye kama ni ujinga ajifunze na kuelewa ukweli, to discard his opinions ni kutomtendea haki
 
Hv mbona unalilia huo mchango wa Waislamu kama vile wakristu walishawahi jitangaza wao ndio wamepigania uhuru. Kipindi watu wanadai uhuru hawakudai kama Waislamu bali Waafrika weusi.
Mzee wangu kushikilia dini kama kigeuza cha uafrika ni upotovu hizo dini zote zimetuchukua utumwani
Ed...
Mimi mkuu nimemuelewa in another angle, mtoa hoja labda anaona historia ya ukombozi wa nchi yetu inaongelea zaidi watu wa aina moja ya dini na sio wa pande zote, na ni kweli ukombozi wa nchi hawakuangalia dini au Imani zao kipindi cha mapambano, naona ni vema tukamjibu mtoa hoja hii kwa facts ili naye kama ni ujinga ajifunze na kuelewa ukweli, to discard his opinions ni kutomtendea haki
Nkanini,
Umemjibu vizuri sana.

Na nimefurahi sana namna ulivyolitumia neno ''ujinga.''

Namtahadharisha Ed.. kuzingatia lugha ya kistaarabu katika huu mjadala.
Mimi silii.

Mimi naeleza historia ya kweli ya uhuru.

Watafiti walioandika historia ya uhuru wa Tanganyika kwa makusudi walikwepa mchango wa Waislam.

Waliamua kutowataja Waislam katika historia ya uhuru.

Na historia ikawa hivyo kwa muda mrefu sana hadi pale mimi nilipoandika kitabu cha Abdul Sykes na kuchapwa mwaka wa 1998.

Suala la dini na utumwa ni mada ya kujitegemea ikiwa anataka tujadili na afungue uzi mpya nitakuja kuchangia In Shaa Allah.

Hili suala la dini katiba ya nchi inasema ni la mtu binafsi.

Qur'an imeiweka wazi inasema mtu halazimishwi katika dini kwa kuwa haki na batil viko wazi.

Ikiwa yeye hapendi Uislam kwa kuwa kulikuwa na Waarabu walifanya biashara ya utumwa hakuna wa kumlazimisha wala hakuna mtu atakae mzuia kuitangaza dini yake mpya ambayo haina wafuasi waliofanya biashara ya utumwa.
 
Mimi mkuu nimemuelewa in another angle, mtoa hoja labda anaona historia ya ukombozi wa nchi yetu inaongelea zaidi watu wa aina moja ya dini na sio wa pande zote, na ni kweli ukombozi wa nchi hawakuangalia dini au Imani zao kipindi cha mapambano, naona ni vema tukamjibu mtoa hoja hii kwa facts ili naye kama ni ujinga ajifunze na kuelewa ukweli, to discard his opinions ni kutomtendea haki
Watu wa aina gani aise zaidi ya watu Waafrika hamna sehemu watu wamesema kanisa lilitumika kudai uhuru. Kushikilia dini kuwa kigezo cha ukombozi wa Mwafrika ni ujinga mkuu. Shule tulisoma vuguvugu la uhuru lilitokana na vita ya pili Waafrika walipoenda pigana bega kwa bega na wazungu wakagundua wazungu ni watu wa kawaida. Kingine elimu na kujitambua kama Waafrika weusi. Hao wanaoitwa wazee wa Kiislamu hawakwenda kudai uhuru kama Waarabu bali Waafrika. Narudia tena dini zote zilitesa Waafrika kujitambulisha kupitia dini za kigeni ni kuchanganyikiwa kabisa
 
Watu wa aina gani aise zaidi ya watu Waafrika hamna sehemu watu wamesema kanisa lilitumika kudai uhuru. Kushikilia dini kuwa kigezo cha ukombozi wa Mwafrika ni ujinga mkuu. Shule tulisoma vuguvugu la uhuru lilitokana na vita ya pili Waafrika walipoenda pigana bega kwa bega na wazungu wakagundua wazungu ni watu wa kawaida. Kingine elimu na kujitambua kama Waafrika weusi. Hao wanaoitwa wazee wa Kiislamu hawakwenda kudai uhuru kama Waarabu bali Waafrika. Narudia tena dini zote zilitesa Waafrika kujitambulisha kupitia dini za kigeni ni kuchanganyikiwa kabisa
Sawa mkuu nimekosoma na kujitahidi kukuelewa, ila kwa sababu ume generalize kwa waafrika wote kuhusu madai ya uhuru tukubaliane kwa facts hii kuwa HUWEZI kutenganisha DINI na mapambano ya UHURU, na sisi Tanzania sio kisiwa, Dini na Imani zetu zimechangia mno katika harakati za uhuru wetu, tusiendelee kufukia vichwa vyetu mchangani wakati ukweli upo wazi, ni vema hoja hii Ije na FACTS kuwa mchango wa Dini zote na Imani zetu zilikuwa sehemu ya mapambano na we must knowledge this equally, kama hili LIMEFANYIKA tuliweke hapa ili sisi WAJINGA tujifunze, binafsi labda ni mmoja wa wajinga ILA SIO MPUMBAVU.
 
Sawa mkuu nimekosoma na kujitahidi kukuelewa, ila kwa sababu ume generalize kwa waafrika wote kuhusu madai ya uhuru tukubaliane kwa facts hii kuwa HUWEZI kutenganisha DINI na mapambano ya UHURU, na sisi Tanzania sio kisiwa, Dini na Imani zetu zimechangia mno katika harakati za uhuru wetu, tusiendelee kufukia vichwa vyetu mchangani wakati ukweli upo wazi, ni vema hoja hii Ije na FACTS kuwa mchango wa Dini zote na Imani zetu zilikuwa sehemu ya mapambano na we must knowledge this equally, kama hili LIMEFANYIKA tuliweke hapa ili sisi WAJINGA tujifunze, binafsi labda ni mmoja wa wajinga ILA SIO MPUMBAVU.
Haya Tanzanganyika Waislamu ndio walileta uhuru
 
Haya Tanzanganyika Waislamu ndio walileta uhuru
Sasa huu ni upumbavu, hii ni hoja ya kujadili why unahamaki kama una facts?,Nkanini ni muumini wa mizimu sio mkiristo au Islam, kama huwezi kujadili ni haki yako ila next time please apply your mind kabla ya kuchangia hoja,mada zingine zipite tu kama huwezi changia
 
Sasa huu ni upumbavu, hii ni hoja ya kujadili why unahamaki kama una facts?,Nkanini ni muumini wa mizimu sio mkiristo au Islam, kama huwezi kujadili ni haki yako ila next time please apply your mind kabla ya kuchangia hoja,mada zingine zipite tu kama huwezi changia
Si tumekubali kuwa Tanganyika uhuru ulidaiwa na kuletwa na waislamu
 
Watu wa aina gani aise zaidi ya watu Waafrika hamna sehemu watu wamesema kanisa lilitumika kudai uhuru. Kushikilia dini kuwa kigezo cha ukombozi wa Mwafrika ni ujinga mkuu. Shule tulisoma vuguvugu la uhuru lilitokana na vita ya pili Waafrika walipoenda pigana bega kwa bega na wazungu wakagundua wazungu ni watu wa kawaida. Kingine elimu na kujitambua kama Waafrika weusi. Hao wanaoitwa wazee wa Kiislamu hawakwenda kudai uhuru kama Waarabu bali Waafrika. Narudia tena dini zote zilitesa Waafrika kujitambulisha kupitia dini za kigeni ni kuchanganyikiwa kabisa
Ed...
Naona tunapishana katika lile ambalo mimi nalieleza na nimeandika vitabu kadhaa katika historia hii.

Sababu ya mimi kuandika kitabu cha Abdul Sykes ni kule kugundua kuwa waandishi wetu hapa nchini hawakuwa ama wanaijua historia ya TANU na walipoandika waliandika historia siyo au walifanya hivyo kwa maelekezo maalum.

Mfano Temu na Kimambo (1969), Abubakar Olotu (1971) Chuo Cha CCM Kivukoni (1981).

Nimemlaumu John Iliffe kwa hili na kumtia katika kundi hilo hapo juu na alihamaki sana kupitia ''review '' yake ya kitabu cha Abdul Sykes iliyochapwa katika Cambridge Journal of African History.

Vitabu hivi vyote vimekwepa kuandika historia ya baadhi ya wazalendo Waislam waliokuwa mstari wa mbele na Julius Nyerere.

Katika vitabu hivyo hukuti historia hii ambayo mimi nakusomesheni hapa.
Imetokea kuwa wazee wangu mimi ndiyo waliounda TANU kwa hiyo naijua historia yangu.

Inachekesha kupita kiasi kuwa mtafiti atatafiti historia ya TANU asimtaje Sheikh Hassan bin Ameir, Mshume Kiyate, Sheikh Suleiman Takadir, Raadhani Mashado Plantan, Bi. Tatu bint Mzee kwa kuwataja wachache.

Hii ndiyo sababu ya mimi kuandika kusahihisha historia ya TANU iliyokuwa siyo.
Hii ndiyo sababu leo Watanzania wanaisoma upya historia yao.

Ama hili la dini wala si jambo la kutushughulisha kama nilivyokueleza kuwa ni jambo binafsi una uhuru wa kufuata dini yoyote au hata kuwa Pagani huamini Mungu kabisa.

Mimi Muislam na ''sijachanganyikiwa.''

Hata wale maadui zangu wakubwa wasionipenda hawajapatapo kuwa na wasiwasi kuhusu akili yangu.

Nina akili timam.
Hapo chini ni kitabu changu cha hivi karibuni.
 

Attachments

  • RAJABU IBRAHIM KIRAMA.jpg
    RAJABU IBRAHIM KIRAMA.jpg
    43.6 KB · Views: 11
Hii siku sitaisahau mzee wetu aliipigwa kibao cha shavuni paa
 
Ed...
Naona tunapishana katika lile ambalo mimi nalieleza na nimeandika vitabu kadhaa katika historia hii.

Sababu ya mimi kuandika kitabu cha Abdul Sykes ni kule kugundua kuwa waandishi wetu hapa nchini hawakuwa ama wanaijua historia ya TANU na walipoandika waliandika historia siyo au walifanya hivyo kwa maelekezo maalum.

Mfano Temu na Kimambo (1969), Abubakar Olotu (1971) Chuo Cha CCM Kivukoni (1981).

Nimemlaumu John Iliffe kwa hili na kumtia katika kundi hilo hapo juu na alihamaki sana kupitia ''review '' yake ya kitabu cha Abdul Sykes iliyochapwa katika Cambridge Journal of African History.

Vitabu hivi vyote vimekwepa kuandika historia ya baadhi ya wazalendo Waislam waliokuwa mstari wa mbele na Julius Nyerere.

Katika vitabu hivyo hukuti historia hii ambayo mimi nakusomesheni hapa.
Imetokea kuwa wazee wangu mimi ndiyo waliounda TANU kwa hiyo naijua historia yangu.

Inachekesha kupita kiasi kuwa mtafiti atatafiti historia ya TANU asimtaje Sheikh Hassan bin Ameir, Mshume Kiyate, Sheikh Suleiman Takadir, Raadhani Mashado Plantan, Bi. Tatu bint Mzee kwa kuwataja wachache.

Hii ndiyo sababu ya mimi kuandika kusahihisha historia ya TANU iliyokuwa siyo.
Hii ndiyo sababu leo Watanzania wanaisoma upya historia yao.

Ama hili la dini wala si jambo la kutushughulisha kama nilivyokueleza kuwa ni jambo binafsi una uhuru wa kufuata dini yoyote au hata kuwa Pagani huamini Mungu kabisa.

Mimi Muislam na ''sijachanganyikiwa.''

Hata wale maadui zangu wakubwa wasionipenda hawajapatapo kuwa na wasiwasi kuhusu akili yangu.

Nina akili timam.
Hapo chini ni kitabu changu cha hivi karibuni.
Wewe ni chawa wa familia ya kina Sykes over
 
Wewe ni chawa wa familia ya kina Sykes over
Mdukuzi,
Umeghadhibika.

Unaweza kuniita upendavyo wala hapana shida.

Ila nitakuambia kitu kimoja.

Hata wewe kama ungepewa Nyaraka za Sykes uzisome na iwe umejaaliwa fahamu nzuri basi ungekuwa kama mimi, kama John Iliffe (Cambridge) na kama Prof. Acheampong (Harvard).

Hawa ni wasomi wa sifa na wote wamechapa sehemu waipendayo kutokana na historia ya Ukoo wa Sykes.

Hawa je utawaitaje?

Iliffe kanitia katika Cambridge Journal of African History (1999).

Prof. Acheampong yeye kanitia katika Dictionary of African Biography (DAB) (2011).

Sababu ya wao kufanya haya ni kuwa nimekuja na elimu mpya ambayo haikuwapo kabla.

Je, hawa pia ni chawa wa akina Sykes?
 
Ed...
Naona tunapishana katika lile ambalo mimi nalieleza na nimeandika vitabu kadhaa katika historia hii.

Sababu ya mimi kuandika kitabu cha Abdul Sykes ni kule kugundua kuwa waandishi wetu hapa nchini hawakuwa ama wanaijua historia ya TANU na walipoandika waliandika historia siyo au walifanya hivyo kwa maelekezo maalum.

Mfano Temu na Kimambo (1969), Abubakar Olotu (1971) Chuo Cha CCM Kivukoni (1981).

Nimemlaumu John Iliffe kwa hili na kumtia katika kundi hilo hapo juu na alihamaki sana kupitia ''review '' yake ya kitabu cha Abdul Sykes iliyochapwa katika Cambridge Journal of African History.

Vitabu hivi vyote vimekwepa kuandika historia ya baadhi ya wazalendo Waislam waliokuwa mstari wa mbele na Julius Nyerere.

Katika vitabu hivyo hukuti historia hii ambayo mimi nakusomesheni hapa.
Imetokea kuwa wazee wangu mimi ndiyo waliounda TANU kwa hiyo naijua historia yangu.

Inachekesha kupita kiasi kuwa mtafiti atatafiti historia ya TANU asimtaje Sheikh Hassan bin Ameir, Mshume Kiyate, Sheikh Suleiman Takadir, Raadhani Mashado Plantan, Bi. Tatu bint Mzee kwa kuwataja wachache.

Hii ndiyo sababu ya mimi kuandika kusahihisha historia ya TANU iliyokuwa siyo.
Hii ndiyo sababu leo Watanzania wanaisoma upya historia yao.

Ama hili la dini wala si jambo la kutushughulisha kama nilivyokueleza kuwa ni jambo binafsi una uhuru wa kufuata dini yoyote au hata kuwa Pagani huamini Mungu kabisa.

Mimi Muislam na ''sijachanganyikiwa.''

Hata wale maadui zangu wakubwa wasionipenda hawajapatapo kuwa na wasiwasi kuhusu akili yangu.

Nina akili timam.
Hapo chini ni kitabu changu cha hivi karibuni.
Wewe Mzee angalia ulivyo MNAFIKI

Hapo juu uzi namba 4 umemquote Edwayne na Nkanini na umesema kuwa Waandishi wa Historia ya TANU kwa makusudi waliacha kuandika mchango wa Waislam katika kudai Uhuru HALAFU hapa chini unasema tena wao kwa kutoifahamu historia waliandika mengine yasiyokuwepo...huo ni UNAFIKI

Mzee mzima kuwa MNAFIKI ni Laana kwa Dini na Taifa
 
Hv mbona unalilia huo mchango wa Waislamu kama vile wakristu walishawahi jitangaza wao ndio wamepigania uhuru. Kipindi watu wanadai uhuru hawakudai kama Waislamu bali Waafrika weusi.

Mzee wangu kushikilia dini kama kigeuza cha uafrika ni upotovu hizo dini zote zimetuchukua utumwani
Ed...
Naipenda historia ya TANU na kupigania uhuru wa Tanganyika kwa sababu ni historia ya wazee wangu na mimi ni sehemu ya historia hii.

Miaka ile historia hii ilipokuwa imefutwa nikijisikia unyonge mkubwa.
 
Back
Top Bottom