Dah! Hawa viumbe sijui Mungu aliwaumbaje aisee dah! Kuna muda mtu mzima macho yanaweza kukutoka mpaka ukashindwa kujielewa kabisa dah!Jean-Léon Gérôme - Ukweli Ukitoka Kwa Kisima Chake, 1896 (maelezo)View attachment 2407087
Hizo ulizo mark ninini kiongozi
Na walikua intelligent and danger kuliko hawa tulio nao leoWalikuwa visu hasaView attachment 2407243
Hawa ndio wanatuchanganya unakutana na fuvu la mtu unadhani la alliens[emoji849]Mfano wa njia zilizotumiwa na watu wa Mayan kuunda kichwa cha mtoto.View attachment 2407242
Hawa ndio wanatuchanganya unakutana na fuvu la mtu unadhani la alliens[emoji849]Mfano wa njia zilizotumiwa na watu wa Mayan kuunda kichwa cha mtoto.View attachment 2407242