Kume kucha (Tuma salamu kwa watu Uwapendao hapa Jf)

Salam zangu za heri na fanaka zimfikie Valentina

Valentina popote ulipo tambua kuwa, pamoja na kufahamiana hapa jukwaani umekuwa mtu mwema, rafiki na mwenye maono chanya kwa ajili ya wengi. Binafsi nakutakia kila la kheri kwenye maisha yako, uishi maisha mema yenye furaha na mafanikio na Mungu akakutimizie yale yote mema unayoyahitaji.

Ni matumaini yangu kuwa mwaka huu 2019 ni ''wako''.
 
Ooh jamaniii..hii ni kama bed&breakfast kwangu...yay[emoji7][emoji7][emoji7]chaaante kimuchiii[emoji12][emoji12][emoji12]
Hahaa Ki-muchi usinivunje mbavu aise... lol

YOU know " nakukosa right !?

Sent using Jamii Forums mobile app
Save the date "kin-ki" ni next week[emoji6][emoji6]
Nawazoom tu chaaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…