Kumeibuka wimbi la ujenzi wa ICD usioratibiwa katika jiji la Dar

Kumeibuka wimbi la ujenzi wa ICD usioratibiwa katika jiji la Dar

Nalilia Wanangu

New Member
Joined
Jan 23, 2019
Posts
2
Reaction score
2
• Kumeibuka wimbi la ujenzi wa ICD usioratibiwa katika jiji la Dar

• Wilaya zilizoathirika zaidi ni Temeke (kuroka Mbagala hadi Kurasini) na Kigamboni

• Nyingi zimejengwa katika makazi ya watu kwa kununua baadhi ya wenye nyumba kwa udalali wa Serikali za mitaa

• Uchafuzi wa mazingira kwa sauti za kuyapanga na kupakia ni kero kwa wanaoishi kihalali eneo la makazi linalopakana na eneo la makazi lililogeuzwa kinyemela kuwa ICD

• Madalali (Serikali za mitaa) hufanikisha kwa kutishia kuwa usipokubali kumuuzia muwekezaji utanyanganywa kwa "Amri kutoka juu"

Ishu:
• Ni kweli tunahitaji ICD zote hizi?

• Kama twazihitaji, zijengwe kwa msukumo wa wasekezaji badala ya kuratibiwa na Serikali

• Je Serikali za mitaa zina uwezo wa kufanya maamuzi ya mipango miji?

• Je serikali inapohusika na udalali kupitia serikali za Mitaa, mwananchi anayekereka atapata wapi msaada?

• Mipango miji inaratibu ujenzi wa nyumba za ibada na za burudani pekee au hata ICD?

• Msukomo wa Serikali kudhibiti uchafuzi wa mazingira kwa nyumba za ibada na nyumba za starehe kwanini usidhibiti hizo kelele za ICD zinazozidi kushamiri sehemu za makazi jijini Dar es Salaam?
 
• Kumeibuka wimbi la ujenzi wa ICD usioratibiwa katika jiji la Dar

• Wilaya zilizoathirika zaidi ni Temeke (kuroka Mbagala hadi Kurasini) na Kigamboni

• Nyingi zimejengwa katika makazi ya watu kwa kununua baadhi ya wenye nyumba kwa udalali wa Serikali za mitaa

• Uchafuzi wa mazingira kwa sauti za kuyapanga na kupakia ni kero kwa wanaoishi kihalali eneo la makazi linalopakana na eneo la makazi lililogeuzwa kinyemela kuwa ICD

• Madalali (Serikali za mitaa) hufanikisha kwa kutishia kuwa usipokubali kumuuzia muwekezaji utanyanganywa kwa "Amri kutoka juu"

Ishu:
• Ni kweli tunahitaji ICD zote hizi?

• Kama twazihitaji, zijengwe kwa msukumo wa wasekezaji badala ya kuratibiwa na Serikali

• Je Serikali za mitaa zina uwezo wa kufanya maamuzi ya mipango miji?

• Je serikali inapohusika na udalali kupitia serikali za Mitaa, mwananchi anayekereka atapata wapi msaada?

• Mipango miji inaratibu ujenzi wa nyumba za ibada na za burudani pekee au hata ICD?

• Msukomo wa Serikali kudhibiti uchafuzi wa mazingira kwa nyumba za ibada na nyumba za starehe kwanini usidhibiti hizo kelele za ICD zinazozidi kushamiri sehemu za makazi jijini Dar es Salaam?
Mkuu ICD ni kitu gani??
 
Sawa.Ngoja aje.Atakuwa anaangalia angani kama mwezi upo.
Labda amezunguka sana ila mitaa ya Mwananchi ipo moja tena pale kituo cha daladala na Mabibo nyuma ya chuo cha NIT usawa wa ubongo maziwa .Zipo nyingine za kawaida kurasini zipo kibao ..


Kingine bandari ya Dar es salaam imeanza kupokea mizigo mingi kidogo baada ya berth kadhaa kuboreshwa so naona ICDs nyingi ndo zinapunguza msongamano pale bandari .
 
• Kumeibuka wimbi la ujenzi wa ICD usioratibiwa katika jiji la Dar

• Wilaya zilizoathirika zaidi ni Temeke (kuroka Mbagala hadi Kurasini) na Kigamboni

• Nyingi zimejengwa katika makazi ya watu kwa kununua baadhi ya wenye nyumba kwa udalali wa Serikali za mitaa

• Uchafuzi wa mazingira kwa sauti za kuyapanga na kupakia ni kero kwa wanaoishi kihalali eneo la makazi linalopakana na eneo la makazi lililogeuzwa kinyemela kuwa ICD

• Madalali (Serikali za mitaa) hufanikisha kwa kutishia kuwa usipokubali kumuuzia muwekezaji utanyanganywa kwa "Amri kutoka juu"

Ishu:
• Ni kweli tunahitaji ICD zote hizi?

• Kama twazihitaji, zijengwe kwa msukumo wa wasekezaji badala ya kuratibiwa na Serikali

• Je Serikali za mitaa zina uwezo wa kufanya maamuzi ya mipango miji?

• Je serikali inapohusika na udalali kupitia serikali za Mitaa, mwananchi anayekereka atapata wapi msaada?

• Mipango miji inaratibu ujenzi wa nyumba za ibada na za burudani pekee au hata ICD?

• Msukomo wa Serikali kudhibiti uchafuzi wa mazingira kwa nyumba za ibada na nyumba za starehe kwanini usidhibiti hizo kelele za ICD zinazozidi kushamiri sehemu za makazi jijini Dar es Salaam?
Mumeambiwa jengeni Bagamoyo Port Ina eneo la kutosha Kwa kazi hiyo hamtaki Sasa ngoja mbanane huko huko kwenye makazi.
 
Back
Top Bottom