jitombashisho
JF-Expert Member
- Jun 11, 2020
- 667
- 2,245
Bulembo,mzee mustaafu mwenye hekima zake ameapa kupeleka shauli mahakamani kuishtaki TFF ili iondoe kipengele cha lazima uwe na elimu ya Shahada ama degree ndipo uruhusiwe kugombea Urais na u makamo wa Rais wa TFF.
"...kipengere hicho kinakiuka katiba na miongozo ya wenye mpira Duniani na Afrika yaani FIFA na CAF kwa sababu katiba ya FIFA na CAF haina kipengere hicho.Ajabu hapa kwetu kuna kakisiwa kametengenezwa ili kutowapa mwaya hasa vijana wetu waliocheza mpira kuwa Viongozi wa chama chetu cha soka." Alinukuliwa Bulembo.
"...siyo nasema hivyo eti kwa sababu nataka kugombea la hasha mimi ni mustaafu lakini nawasema kina Lunyamila na wenzake ambao wao waliocheza mpira ajabu kanuni zetu zinawatenga wao kuwa Viongozi wa baadae wa mpira wetu." Amesema Bulembo.
"...nimewasilisha malalamiko yangu Wizara ya michezo,baraza la michezo na TFF pia na wote wameshaipokea.Sasa kabla ya uchaguzi ujao wa TFF ihakikishe inabadiri kipengere hicho vinginevyo nawapelekea mahakamani." Abdallah kasema.
My take: Hongera sana mzee mustaafu Bulembo kwa nia yako safi yenye kusudi chanya ya kuliokoa soka letu.
Pamoja na uanasimba wako angalau umethubutu kuisimamia haki ya mpira.
"...kipengere hicho kinakiuka katiba na miongozo ya wenye mpira Duniani na Afrika yaani FIFA na CAF kwa sababu katiba ya FIFA na CAF haina kipengere hicho.Ajabu hapa kwetu kuna kakisiwa kametengenezwa ili kutowapa mwaya hasa vijana wetu waliocheza mpira kuwa Viongozi wa chama chetu cha soka." Alinukuliwa Bulembo.
"...siyo nasema hivyo eti kwa sababu nataka kugombea la hasha mimi ni mustaafu lakini nawasema kina Lunyamila na wenzake ambao wao waliocheza mpira ajabu kanuni zetu zinawatenga wao kuwa Viongozi wa baadae wa mpira wetu." Amesema Bulembo.
"...nimewasilisha malalamiko yangu Wizara ya michezo,baraza la michezo na TFF pia na wote wameshaipokea.Sasa kabla ya uchaguzi ujao wa TFF ihakikishe inabadiri kipengere hicho vinginevyo nawapelekea mahakamani." Abdallah kasema.
My take: Hongera sana mzee mustaafu Bulembo kwa nia yako safi yenye kusudi chanya ya kuliokoa soka letu.
Pamoja na uanasimba wako angalau umethubutu kuisimamia haki ya mpira.